Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,919
- 947
MBUNGE NGASSA: " TUNAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA, KULINDA USTAWI WA TAIFA"
"... Uimara wa Taifa unatokana na uimara wa afya za Wananchi. Serikali yetu imeendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa kwenye huduma za afya kwa ajili ya kuhakikisha Taifa Letu linakuwa imara. Tunafarijika kuona maboresho makubwa kwenye Zahanati zetu za Vijiji, Vituo vya afya vya Kata na Hospital yetu ya Wilaya ambapo Mwenge wa Uhuru utaweka Jiwe la Msingi kuzindua Wodi ya Wagonjwa Mahututi (ICU).
"... Kwenye ziara zangu Vijijini Ninapofika Ninakagua upatikanaji wa vifaa tiba, madawa, mifumo ya maji safi na maji taka. Tunaendelea kujivunia uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya afya uliofanywa na Serikali yetu ya Chama cha Mapinduzi (CCM)..."
NICHOLAUS GEORGE NGASSA
MBUNGE WA JIMBO LA IGUNGA
Attachments
-
WhatsApp Image 2023-09-19 at 09.36.55(1).jpeg85.5 KB · Views: 2
-
WhatsApp Image 2023-09-19 at 09.36.55.jpeg82.1 KB · Views: 2
-
WhatsApp Image 2023-09-19 at 09.36.54.jpeg49.6 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-09-19 at 09.36.53(1).jpeg97 KB · Views: 2
-
WhatsApp Image 2023-09-19 at 09.36.53.jpeg73.3 KB · Views: 1