Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,044
- 983
MBUNGE NDAISABA AILILIA SERIKALI SAKATA LA KIKOKOTOO
"Je, Serikali ina mpango gani wa kurekebisha kanuni ya Kikokotoo ili kuongeza kiwango cha mafao ya mkupuo kwa wastaafu? - Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo la Ngara
"Serikali ina mpango gani wa kuhakikisha kwamba inalipa madeni ya Mifuko ya hifadhi ya jamii ili kuiongezea ukwasi Mifuko hiyo ili iendelee kuwanufaisha wanachama wake?