Bakilana AB.
Member
- Jan 17, 2016
- 21
- 2
So kama serikali yenyewe inashindwa inakuwaje
Mkuu, Labda hujanielewa, Ninachopinga ni kitendo cha wabunge baadhi, kujifanya wafadhili wa wananchi, badala ya watetezi wa wanananchi.
Mbunge legelege, mwenye udhaifu, lazima atajifanya kuwa "materialistic" ili kuwarubuni wananchi! Ila Mbunge anayejiamini hahitaji kuwarubuni wananchi kwa vitu, Ila wataona wenyewe jinsi anavyopambana!
Kweli naona tunaziweka pembeni tofauti za kichama na kuanza kuthamini mchango wa wabunge bila kujali wanatoka chama gani.
Mwanachadema akishaanza kusifiwa na MACCM, sijui namuonaje!
By the way, sio wewe wala huyo NASSARY wako mnaojua majukumu ya mbunge.
Wabunge aina ya Nassary ndio wanaifanya serikali ya CCM iendelee kuwa goigoi , wanaacha majukumu yao ya kibunge na kujifanya kuwa wafadhili wa wananchi ili wachaguliwe tena na tena, Kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali ifanye kazi zake ipasavyo! na sio vinginenyo!
Kila Mbunge akifanya kazi yake ya msingi ipasavyo serikali itanyooka kama Rula!
Mwanachadema akishaanza kusifiwa na MACCM, sijui namuonaje!
By the way, sio wewe wala huyo NASSARY wako mnaojua majukumu ya mbunge.
Wabunge aina ya Nassary ndio wanaifanya serikali ya CCM iendelee kuwa goigoi , wanaacha majukumu yao ya kibunge na kujifanya kuwa wafadhili wa wananchi ili wachaguliwe tena na tena, Kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali ifanye kazi zake ipasavyo! na sio vinginenyo!
Kila Mbunge akifanya kazi yake ya msingi ipasavyo serikali itanyooka kama Rula!
Sorry Samaritan sikukusudia kukuquote ilikua ni huyu Msalani kanikera kijana anasifia yeye analeta za kuleta samahani sana
Uko sahihi...Sio kazi ya Mbunge kutoa MisaadaHujaelewa hoja yangu. Kazi za Mbunge si kuwapa fadhili wapiga kura wake! Ila ni kuisimamia serikali yake itimize majukumu yake kwa wananchi wa eneo husika!
Wewe ni mfuasi wa Lowasa siyo maana Chadema leo Lowasa skitoka kwenda chama kingine utaondoka nae, waache Waungwana wasio na mipaka ya kivyama watoe sifa kwa kijana anafanya vizuri....
wewe ni musa allan ninaye kujua!!?Mwanachadema akishaanza kusifiwa na MACCM, sijui namuonaje!
By the way, sio wewe wala huyo NASSARY wako mnaojua majukumu ya mbunge.
Wabunge aina ya Nassary ndio wanaifanya serikali ya CCM iendelee kuwa goigoi , wanaacha majukumu yao ya kibunge na kujifanya kuwa wafadhili wa wananchi ili wachaguliwe tena na tena, Kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali ifanye kazi zake ipasavyo! na sio vinginenyo!
Kila Mbunge akifanya kazi yake ya msingi ipasavyo serikali itanyooka kama Rula!
Mwanachadema akishaanza kusifiwa na MACCM, sijui namuonaje!
By the way, sio wewe wala huyo NASSARY wako mnaojua majukumu ya mbunge.
Wabunge aina ya Nassary ndio wanaifanya serikali ya CCM iendelee kuwa goigoi , wanaacha majukumu yao ya kibunge na kujifanya kuwa wafadhili wa wananchi ili wachaguliwe tena na tena, Kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali ifanye kazi zake ipasavyo! na sio vinginenyo!
Kila Mbunge akifanya kazi yake ya msingi ipasavyo serikali itanyooka kama Rula!
...theory yako ngumu sana kueleweka; yani una maana bora mbunge aendelee kuendesha v8 ya mamilioni mangapi sijui,kazi yake ni kupiga kelele tu bungeni,kuisubiri serikali itekeleze,hata kama yeye ana uwezo wa kuchangia chochote aache tu,bora anapiga kelele za kutosha bungeni!!Mbunge asiyejiamini katika kazi zake, atajifanya kuwa ni mfadhili badala ya mtetezi, kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali na sio kuifadhili!
Mwanachadema akishaanza kusifiwa na MACCM, sijui namuonaje!
By the way, sio wewe wala huyo NASSARY wako mnaojua majukumu ya mbunge.
Wabunge aina ya Nassary ndio wanaifanya serikali ya CCM iendelee kuwa goigoi , wanaacha majukumu yao ya kibunge na kujifanya kuwa wafadhili wa wananchi ili wachaguliwe tena na tena, Kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali ifanye kazi zake ipasavyo! na sio vinginenyo!
Kila Mbunge akifanya kazi yake ya msingi ipasavyo serikali itanyooka kama Rula!
Amekukuna???Yaani mkuu umenikuna sawasawa. Kwa mtindo huu ccm hawataondoka madarakani. Maana wameshika dola na uchumi. Kama tuna wageuza wanasiasa kuwa wafadhili kwa vyovyote vile tunataka wenye fedha ndiyo wawe wanasiasa. Daah!
Amekukuna???
Seriously???.....anyways, ur id says all.
Kwa kweli huyu Mbunge wa Arumeru sijui alifikaje chadema kwa maana hafiti kabisa, huyu dogo ana moyo sana wa kujitolea na nimemuona akishiriki moja kwa moja kwenye mambo ya kusadia jamii yake na kamwe sijawahi kumsikia akijihusisha na majungu kama Tundu Lisu au Lema!
Leo hii yuko Uchina akijituma kujaribu kuangalia jinsi gani anaweza kutoa mchango wake ktk kupunguza matatizo yanayomkabili MtanZania