Mbunge Nasari arudi tena TAKUKURU

Mbunge Nasari arudi tena TAKUKURU

Nimem zoom aiseee!
Anafaa kabisa kuwa Mkuu wetu wa Wilaya kwa Ilani ya 2005-2015
Hahahah msela wako Jk sio ukuu wa wilaya tu hata hazina angemkabidhi,

Kuna mama mmoja alimtoa South akaja akampa ukurugenzi wa TIC kama sikosei maza hata mshahara wake hakuwa anachukua

Halafu bushbaby akamtoa kwenye awamu yake

Anaitwa nani huyo mama?
 
Mbona nilipofungua page ya pili (maana naload 20posts per page) nimekuta picha imebadilishwa.
 
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari akiwasili Makao makuu ya Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Jijini Dsm, kuendelea na mahojiano ya kile wanachokiita ushahidi wa Picha za Video zilizonaswa zikionesha Jinsi madiwani wa CHADEMA katika baadhi ya kata Mkoani Arusha walivyorubuniwa kwa Pesa ili kujiuzuru na kujivua Uanachama.

View attachment 601946

Muungwana
Ushahidi wa video haukubaliki mahakamani sababu hata video ya Diamond aweza kuwa anaimba Manzese lakini picha za video zikaonyesha anaimba mitaa ya London. Pia ushahidi wa video hauna sahihi kuonyesha kuwa mtu hawezi fanya editing
 
Hapo kesi itamgeukia yeye.
Yeye ndie aliyerekodi ni haki kubanwa na maadamu kakiri ajiandae kukutana na wataalamu wa video na mambo ya suvaillence cameras waliotulia kwenye mahojiano .Kwa ufupi anajitapa kwa kitu asochokijua kitaalamu. Amejibebesha gunia la misumari
 
Yeye ndie aliyerekodi ni haki kubanwa na maadamu kakiri ajiandae kukutana na wataalamu wa video na mambo ya suvaillence cameras waliotulia kwenye mahojiano .Kwa ufupi anajitapa kwa kitu asochokijua kitaalamu. Amejibebesha gunia la misumari
We kwa akili zako unadhani hayajui yote hayo? Think big.
 
Tatizo kidogo litakua ni tarehe.
Lakini mazingira yote na sauti zinawiana na vitendo na midomo ya watuhumiwa.

Vinginevyo sasa tuambiwe kuwa kuwa sheria ya maadili ya viongozi wa umma pamoja na sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa nayo haiwahusu wanasiasa.

Nakumbuka wale askari waliokua wamepigwa picha na Jery Muro walitimuliwa kwa sababu ya picha tu .
Tena picha ambayo haikua hata na maelezo wala mazungumzo ya kupatana kiwango cha rushwa.
Ilionyesha tu dereva wakiwa wanawakabidhi askari pesa bila kujua kuwa walikua wanadaiana au walikua wamepewa pesa na mdaiwa fulani ili wawakabidhi wenyewe na wakawapelekea wakiwa kazini. Kilichozingatiwa ilikua ni kwa jeshi la polisi kulinda maadili yake katika mazingizira yale ya kuchafuliwa.
 
Awe muangalifu sana na kila hatua anayopitia , asimpe mkono mtu yeyote , hata kamishna mkuu , hakuna Mwanaccm wa kuaminika .

Mwisho , Mungu amuepushe na vile ' VITU VYENYE NCHA KALI ' , Amina .
 
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari akiwasili Makao makuu ya Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Jijini Dsm, kuendelea na mahojiano ya kile wanachokiita ushahidi wa Picha za Video zilizonaswa zikionesha Jinsi madiwani wa CHADEMA katika baadhi ya kata Mkoani Arusha walivyorubuniwa kwa Pesa ili kujiuzuru na kujivua Uanachama.

View attachment 601946

Muungwana
Kuna mambo yananisumbua akili. Nisaidieni:
1. Hivi vifaa vilivyowanasa hawa viongozi viliwekwa mahali maalumu na wale jamaa wakawa wanashawishiwa kwenda kufanyia mazungumzo huko?
2. Je, hawa madiwani kweli walihama CHADEMA au walitegeshwa ili kuwanasa hao viongozi wanaodaiwa kutoa rushwa?
3. Je, akina Nasari walibainishaje maeneo yatakayofanyiwa mahojiano au urubuni huo na kutegesha vifaa vyao hivyo vya kijasusi?
4. Je, Nasari ni TAKUKURU / jasusi na kwamba huu ni ushahidi juu ya kazi yake hiyo?
5. Hii itasaidiaje CHADEMA kuthibiti viongozi na wanachama wake wanaohama au kujitoa kwenye chama?
6 Je, tanuru la CHADEMA liko imara kiasi gani katika kuwapata viongozi imara? Au hutumia kigezo cha umaarufu wa mhamiaji na kuutumia kama mtaji?
Sijui!!!!!
 
Back
Top Bottom