Mbunge Nasari arudi tena TAKUKURU

Mbunge Nasari arudi tena TAKUKURU

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
8,273
Reaction score
25,297
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari akiwasili Makao makuu ya Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Jijini Dsm, kuendelea na mahojiano ya kile wanachokiita ushahidi wa Picha za Video zilizonaswa zikionesha Jinsi madiwani wa CHADEMA katika baadhi ya kata Mkoani Arusha walivyorubuniwa kwa Pesa ili kujiuzuru na kujivua Uanachama.

josh.jpg


Muungwana
 
Hiyo miwani PIA Ina hidden camera if u don't know
TAKUKURU watch out
 
ni mtazamo tu

JPM kabla ya kesi kufunguliwa wapishe uchunguzi wote wanaotuhumiwa

JKN enzi zake alimuondoa mkuu wa mkoa wa MWANZA kwa tetesi tu
 
Back
Top Bottom