Mbunge Nasari arudi tena TAKUKURU

Mbunge Nasari arudi tena TAKUKURU

Sanaa hizo. Lakini haitamwacha sheria itachukua mkondo wake kwa udhalilishaji wake. Labda wakae kimya bila kudai fidia ya udhalilishaji huo.
Huko nyuma ilishawahi tokea watu wakaiga kiusanii sauti ya mweheshimiwa mmoja akigawa fedha ya minofu ya samaki. Na walipeleka mahakamani kama ushahidi kuwa mwenyekiti alipewa mgao wa 500,000,000/-
Mahakama ikabaini kuwa ni maigizo. Bahati yao hakuna aliyewadai fidia maana waliwavumilia tu.
 
Hahahahaha Let us wait and see....Inaelekea watu wengi hawaelewi repercussions ya alichofanya....
Zaidi ya kumpiga risasi kama Tundu Lisu kuna jingine? Hilo hana shida nalo ila ole wenu mumpige risasi
 
341088dd7c5ba3a45f07108c05a363f5--dc-comics-funny-marvel-comics.jpg
 
Tatizo kidogo litakua ni tarehe.
Lakini mazingira yote na sauti zinawiana na vitendo na midomo ya watuhumiwa.

Vinginevyo sasa tuambiwe kuwa kuwa sheria ya maadili ya viongozi wa umma pamoja na sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa nayo haiwahusu wanasiasa.

Nakumbuka wale askari waliokua wamepigwa picha na Jery Muro walitimuliwa kwa sababu ya picha tu .
Tena picha ambayo haikua hata na maelezo wala mazungumzo ya kupatana kiwango cha rushwa.
Ilionyesha tu dereva wakiwa wanawakabidhi askari pesa bila kujua kuwa walikua wanadaiana au walikua wamepewa pesa na mdaiwa fulani ili wawakabidhi wenyewe na wakawapelekea wakiwa kazini. Kilichozingatiwa ilikua ni kwa jeshi la polisi kulinda maadili yake katika mazingizira yale ya kuchafuliwa.
Mkuu, reference yako nimeipenda sana. Nashindwa kuelewa kwa nini kuna watu bado hili jambo hawajaona kama lina tatizo kwa wale viongozi wateuliwa wa Rais, yaani mkuu wa wilaya, Mkurugenzi wa halmashauri nk. Hivi ikatokea Rais Magufuli akawawajibisha baada ya uchunguzi wa TAKUKURU au hata wakati huu uchunguzi ukiendelea, watu hawa watamsifu Rais au watafanya nini? Yaani watu wanashindwa kusimamia ukweli hata kama kosa hilo limehusisha chama chao CCM. Sijui tumefika wapi kama Taifa kiasi cha watu waelewa kabisa kukosa uthubutu wa kuongea UKWELI.
 
Chama cha mapinduzi kina mvuto wa kipekee kabisa
 
Umeiona lkn clip? Kama umeitazama basi ondoa shaka.
Nadhani hajaiona, angeweza kusimamia msimamo wake kama ni genuine au fake. Haihitaji utalaamu kujua kwamba ni halali, ndiyo maana hata DC hapingi kwamba hajazungumza na huyo diwani.
 
Kuna mambo yananisumbua akili. Nisaidieni:
1. Hivi vifaa vilivyowanasa hawa viongozi viliwekwa mahali maalumu na wale jamaa wakawa wanashawishiwa kwenda kufanyia mazungumzo huko?
2. Je, hawa madiwani kweli walihama CHADEMA au walitegeshwa ili kuwanasa hao viongozi wanaodaiwa kutoa rushwa?
3. Je, akina Nasari walibainishaje maeneo yatakayofanyiwa mahojiano au urubuni huo na kutegesha vifaa vyao hivyo vya kijasusi?
4. Je, Nasari ni TAKUKURU / jasusi na kwamba huu ni ushahidi juu ya kazi yake hiyo?
5. Hii itasaidiaje CHADEMA kuthibiti viongozi na wanachama wake wanaohama au kujitoa kwenye chama?
6 Je, tanuru la CHADEMA liko imara kiasi gani katika kuwapata viongozi imara? Au hutumia kigezo cha umaarufu wa mhamiaji na kuutumia kama mtaji?
Sijui!!!!!
Mkuu, umeangalia videos au umesimuliwa? Hivi camera iliyotegeshwa sehemu yaani iko fixed inaweza kuwa na movements kama tunavyoona???? Hata hilo la kwamba walihama au la na maswali mengine, kama umefuatilia matukio yote ungekua una majibu. Ningekushauri ufuatilie kwa karibu ndipo uweze kujua nini kinaendelea.
 
Sanaa hizo. Lakini haitamwacha sheria itachukua mkondo wake kwa udhalilishaji wake. Labda wakae kimya bila kudai fidia ya udhalilishaji huo.
Huko nyuma ilishawahi tokea watu wakaiga kiusanii sauti ya mweheshimiwa mmoja akigawa fedha ya minofu ya samaki. Na walipeleka mahakamani kama ushahidi kuwa mwenyekiti alipewa mgao wa 500,000,000/-
Mahakama ikabaini kuwa ni maigizo. Bahati yao hakuna aliyewadai fidia maana waliwavumilia tu.
Amesema yuko tayari kuachia ngazi ubunge, maana yake na hatua zingine za kisheria yuko tayari kuzipokea.
 
Zaidi ya kumpiga risasi kama Tundu Lisu kuna jingine? Hilo hana shida nalo ila ole wenu mumpige risasi

Yours is an outrageous statement...Mhe Tundu Lissu amepigwa risasi na nani??? Hujui kuwa comment yako ni serious na inaweza kukuingiza matatizoni???? Kwanini hamjifunzi kwa mambo kama haya??? Kila jambo mnafanya mzaha, why???
 
Huyu mbunge kijana ni smart na inteligent, Nina imani vifao alivuovitumia alivipata East London kwenye duka kama hili
Lorraine Electronics Surveillance Spy Shop in London UK, specialists in surveillance equipment, tracking device, hidden camera, spy equipment, spy cameras, spy cams, spy toys, spy camera London, spy gadgets, bugging and tracking equipment. As featured on Channel 4 News.
Kuna vifao vya uchunguzi wa kila aina, hata vifao vya kugundua hivyo alivyovitumia yeye.

Uliwahi kuwatembelea kununua villa security system, tena kuna kijana wa kihindi aliyezaliwa mtaa wa ngara Nairobi, ambayo ndie meneja.

Kilichofanyika hapo ni a very small camera unaweza kuivaa kama kifungio cha shati ama kitone kwenye tai.
 
Dogo kakaba mpaka penati,akomae nao mpaka dakika ya mwisho,wakigoma ailete hoja kwa wananchi au aombe kufanya private prosecution mahakamani au tume ya maadili
Mwisho wa Siku father house atakuja wapiga pini Tume ya maadili

Ova
 
Yours is an outrageous statement...Mhe Tundu Lissu amepigwa risasi na nani??? Hujui kuwa comment yako ni serious na inaweza kukuingiza matatizoni???? Kwanini hamjifunzi kwa mambo kama haya??? Kila jambo mnafanya mzaha, why???
Tundu lisu alimiminiwa marisasi na vyombo vya usalama vya tanzania.kamahutaki waambie waruhusu uchunguzi huru full stop
 
Ac
Yours is an outrageous statement...Mhe Tundu Lissu amepigwa risasi na nani??? Hujui kuwa comment yako ni serious na inaweza kukuingiza matatizoni???? Kwanini hamjifunzi kwa mambo kama haya??? Kila jambo mnafanya mzaha, why???
heni woga ruhusuni uchunguzi huru tuwaumbue after all ushahidi tunao
 
Back
Top Bottom