beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Viti Maalum, Mwanaisha Ulenge amesema Tanzania haina usawa katika upatikanaji wa Elimu kwasababu ipo Mikoa ambayo bado ipo nyuma Kielimu, ikimaanisha kuna watu wataendelea kubaki nyuma kimaendeleo
Amefafanua, "Wakati tunaenda kufanya Mapitio kwenye Sera ya Elimu, tufanye Tafiti kujua kwanini baadhi ya Mikoa ipo nyuma, na tuje na Mapendekezo yatakayosaidia Mikoa hiyo iinuke"
Mbunge huyo ameongeza, "Inawezekana tunapeleka Rasilimali mahali ambapo hazihitajiki, na kuna sehemu inabidi tuongeze nguvu"
Amefafanua, "Wakati tunaenda kufanya Mapitio kwenye Sera ya Elimu, tufanye Tafiti kujua kwanini baadhi ya Mikoa ipo nyuma, na tuje na Mapendekezo yatakayosaidia Mikoa hiyo iinuke"
Mbunge huyo ameongeza, "Inawezekana tunapeleka Rasilimali mahali ambapo hazihitajiki, na kuna sehemu inabidi tuongeze nguvu"