Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,547
- 28,493
Mbunge machachari Msukuma ana upeo mkubwa wa kuongea na kuongea.
Lakini wakati mwingine kinachomtoka mdomoni ni pumba zisizo ainisha mantiki ya usomi nyuma yake.
Huwa anawa nanga sana wasomi, utaifikiri mikakati ya mwalimu Nyerere kufuta ujinga ilikuwa kupoteza muda na fedha.
Msukuma namshauri afute shule zote jimboni mwake ili watu wake wawe madereva wa mabasi na malori na makondakta , kama yeye.
Juzi Bungeni kawananga wazee, Wakurugenzi na Wenyeviti wa Bodi, ati wazee.!!
Hilo ndilo kosa la kukosa usomi!
Experience(uzoefu) na elimu ndiyo pinnacle ya uongozi.
Huwezi muweka kijana wa UVCCM kuongoza Bodi, ile siyo kazi ya mtulinga, ni kazi ya ushauri unaotokana na uzoefu.
Mbunge Msukuma ajifunze kuwa na kiasi na kujiwekea speed governor ya mdomo.