Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
An inferiority complex is the lack of self-worth, a doubt and uncertainty about oneself, and feelings of not measuring up to standards. It is often subconscious, and is thought to drive afflicted individuals to overcompensate, resulting either in spectacular achievement or extremely asocial behavior.
Kama kuna mtu yupo karibu na huyu jamaa naomba amshauri tu ya kuwa kupenda kutaja taja u la saba la saba wake si ishara nzuri ya ukomavu wa kisiasa. He needs to mature politically.
Haitaji kutafuta political sympathizers kwa design hiyo kwa maana ni zaidi ya mara 20 kila akiongea yeye ni kutaja kiwango chake hicho cha elimu kana kwamba kuna mtu aliwahi kumkejeli ndani ya bunge kuhusu yeye kuwa la saba.
Mbona wabunge wengi ni la saba ila wapo kimya. Lameck Airo ni la saba ila hayupo inferior kama kaka yangu musukuma.
Kwani ni nani mwenye bachelor na kuandelea aliwahi kukukejeli kaka? Wapiga kura walijua wewe ni la saba still wakakupenda na kukupa nafasi, sasa where does that inferiority come from? Kila wakati eti mimi la saba. Achana na hizo kauli kaka. Jadili hoja makini.
Mkuu, stop feeling inferior aisee. Unakiangusha sana chama kwa namna hiyo.
KIJANA KUWA MZALENDO. IPENDE TANZANIA
NB: Mimi sina chama ila nampenda sana kaka yangu musukumu. Asijishushe sana kaka
Kama kuna mtu yupo karibu na huyu jamaa naomba amshauri tu ya kuwa kupenda kutaja taja u la saba la saba wake si ishara nzuri ya ukomavu wa kisiasa. He needs to mature politically.
Haitaji kutafuta political sympathizers kwa design hiyo kwa maana ni zaidi ya mara 20 kila akiongea yeye ni kutaja kiwango chake hicho cha elimu kana kwamba kuna mtu aliwahi kumkejeli ndani ya bunge kuhusu yeye kuwa la saba.
Mbona wabunge wengi ni la saba ila wapo kimya. Lameck Airo ni la saba ila hayupo inferior kama kaka yangu musukuma.
Kwani ni nani mwenye bachelor na kuandelea aliwahi kukukejeli kaka? Wapiga kura walijua wewe ni la saba still wakakupenda na kukupa nafasi, sasa where does that inferiority come from? Kila wakati eti mimi la saba. Achana na hizo kauli kaka. Jadili hoja makini.
Mkuu, stop feeling inferior aisee. Unakiangusha sana chama kwa namna hiyo.
KIJANA KUWA MZALENDO. IPENDE TANZANIA
NB: Mimi sina chama ila nampenda sana kaka yangu musukumu. Asijishushe sana kaka