mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,912
- 8,635
Inaitwa SII-HASA !!
Inaitwa SII-HASA !!
Kwaiyo igawiwe bureWakulima wameathirika mno na bei ya mbolea tuache siasa.
Wanasemaga Siasa ni uongo unaokubalika ! Au ni Uongo unaofanana na ukweli !! Lakini tafsiri hii ni kwa Dunia ya tatu !!Siasa ni science kuielewa ni ngumu sana
Wengi wametupiga
Mbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe kutokana na hoja zake za uongo zilizosababisha kuongezeka kwa bei ya mbolea huku akisingizia vita ya Ukraine wakati vita imeanza huku tayari mfuko wa mbolea unauzwa 130,000/=
No 1 ni Kishimba aseeMpina ndie mbunge pekee ninaemuona kule bungeni kwa sasa anayejitambua aliyeacha kichwa chake kifanye kazi badala ya tumbo.
Bashe anatumika na wafanyabiasharaHata corona ilikuwepo kila mahali lakini Tanzania tulifanya kivyetu
CCM vs CCM Ni Ujanjaa Hawana Lolote Lile
jibu hoja mbolea ya bei rahisi inapatikana wapi uwasaidie Bwashe na wakulima ,siyo ukiulizwa unakata mauno au JF umekuja kutafuta bwana!Hata corona ilikuwepo kila mahali lakini Tanzania tulifanya kivyetu
we ni fuvu la chato kweli,nimekuambia hiyo mbolea ya bei rahisi inauzwa wapi ifuatiliwe,mbona unaulizwa swali lile kuanzia mwanzo unaruruka ruka tuKama huwezi hata kujua bei ya mbolea basi huna faida yoyote kabisa
Mbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe kutokana na hoja zake za uongo zilizosababisha kuongezeka kwa bei ya mbolea huku akisingizia vita ya Ukraine wakati vita imeanza huku tayari mfuko wa mbolea unauzwa 130,000/=
Kama chadema wanavyoparuana mahakamani
Mbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe kutokana na hoja zake za uongo zilizosababisha kuongezeka kwa bei ya mbolea huku akisingizia vita ya Ukraine wakati vita imeanza huku tayari mfuko wa mbolea unauzwa 130,000/=
Hoja yake ijibiwe kwa hojaHuyu jamaa aache blah blah atuletee company yenye bei nafuu
Kumbe hawakutakiwa kuongozana wala kusalimiana kisa kupishana hoja???