Mbunge Mpina amvaa tena Waziri Bashe

Mbunge Mpina amvaa tena Waziri Bashe

Mbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe kutokana na hoja zake za uongo zilizosababisha kuongezeka kwa bei ya mbolea huku akisingizia vita ya Ukraine wakati vita imeanza huku tayari mfuko wa mbolea unauzwa 130,000/=
Safi sana mbunge Mpina leo waziri Bashe amefuata mawazo yako
 
Mpina nimefuatilia kwa makini siasa zake sina uhakika na hoja hata moja ambayo anaitoa bila kuifanyia utafiti wa kina ndio maana Bashe ametumbukia kwenye aibu ya kukubali kurudisha mfumo wa ununuzi wa mbolea na bei elekezi ya mbolea uliofutwa Juni 2021 ili kuweka uholela wa biashara ya mbolea
 
Mpina nimefuatilia kwa makini siasa zake sina uhakika na hoja hata moja ambayo anaitoa bila kuifanyia utafiti wa kina ndio maana Bashe ametumbukia kwenye aibu ya kukubali kurudisha mfumo wa ununuzi wa mbolea na bei elekezi ya mbolea uliofutwa Juni 2021 ili kuweka uholela wa biashara ya mbolea
Kanda ya ziwa ndiyo kuna watu wenye akili na uzalendo, kanda zingine ni uvivu na wizi ndiyo vimejaa
 
Mpina ndie mbunge pekee ninaemuona kule bungeni kwa sasa anayejitambua aliyeacha kichwa chake kifanye kazi badala ya tumbo.
ALICHOMA NYAVU ZETU - wewe muite pekee tu
 
1. Lissu na Lema wameendelea kulelewa na wazungu maana yake walisingizia kwamba wamekimbia sababu ya Magufuli.

2. Igizo la Corona limeisha kama alivyotabiri Magufuli

3. Ndege tulizoambiwa na Zito Kabwe kwamba Magufuli amenunua mitumba mpaka leo zinapiga kazi vizuri sana

4. Tanzania haijashutakiwa MIGA kama alivyotabiri Tundu Lisu

5. Mpaka sasa hamna ufisadi wowote aliofanya Magufuli ulioibuliwa na waliomchukia

6. Baada ya waliotumbuliwa na Magufuli kurudishwa Serikalini ,utendaji wa serikali umezorota sana, hivyo kuwafanya wananchi wagundue kumbe Magufuli hakuwa anamuonea mtu.

7. Baada ya Magufuli kuondoka Tanzania imeporomoka uchumi wa
 
Back
Top Bottom