Bashe ni mtafuta sifa hakuna kitu paleMbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe kutokana na hoja zake za uongo zilizosababisha kuongezeka kwa bei ya mbolea huku akisingizia vita ya Ukraine wakati vita imeanza huku tayari mfuko wa mbolea unauzwa 130,000/=
Ili kulinda rasilimali zetu, mpini na shoka havitakiwi kupatana
Mbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe kutokana na hoja zake za uongo zilizosababisha kuongezeka kwa bei ya mbolea huku akisingizia vita ya Ukraine wakati vita imeanza huku tayari mfuko wa mbolea unauzwa 130,000/=
Hahaha.....mpina sahiv kawashika pabaya tatizo bashe anausanii kama makamba akileta hoja zake unaweza fikiri ni za kweli kumbe za uongo
Mpina yupi?Mpina ndie mbunge pekee ninaemuona kule bungeni kwa sasa anayejitambua aliyeacha kichwa chake kifanye kazi badala ya tumbo.
Tatizo ni Ccmmpina sahiv kawashika pabaya tatizo bashe anausanii kama makamba akileta hoja zake unaweza fikiri ni za kweli kumbe za uongo
Hawashughulishi akili zao ni wasaniimpina sahiv kawashika pabaya tatizo bashe anausanii kama makamba akileta hoja zake unaweza fikiri ni za kweli kumbe za uongo
Kinajifanya kinajua kuongea wakati hawezi kuleta matokeo!Bashe Ni basha tu
Mnaparurana wenyewe kwa wenyewe sasaMbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe kutokana na hoja zake za uongo zilizosababisha kuongezeka kwa bei ya mbolea huku akisingizia vita ya Ukraine wakati vita imeanza huku tayari mfuko wa mbolea unauzwa 130,000/=


Wale sio wanachama wa CHADEMA weweKama chadema wanavyoparuana mahakamani
Unaandika utoko gani dogo!!!?Na mboe aliiga wapi kukimbia bunge na kujifungia ndani na gloves nyeusi juu
No ndugu bashe ni makini sana,akipewa fursa ya kumjibu mpina atajibiwa vizuri sanampina sahiv kawashika pabaya tatizo bashe anausanii kama makamba akileta hoja zake unaweza fikiri ni za kweli kumbe za uongo