Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,382
- 18,182
- Thread starter
- #61
Dhima kuu ya bajeti itakayoanza kutekelezwa kuanzia siku ya leo ni “Kuongeza Kasi ya Kufufua Uchumi na Kuimarisha Sekta za Uzalishaji kwa ajili ya Kuboresha Maisha.”Jamaa kapewa dili lakini anabweka nje ya ulingo
Gone are the days za lopolopo
Kufanikisha dhima hiyo, Mhe. Rais Samia Suluhu anaweka mkazo katika kilimo, mifugo, uvuvi, nishati, uwekezaji na biashara.
Kwa kufanya yafuatayo;
-Serikali imeondoa kodi kwenye mafuta ya kula.
-Serikali imepandisha mishahara kwa watumishi wa Umma
-Serikali imepandisha posho za kujikimu kwa Watumishi wa Umma.
-Imepunguza kodi kwenye ngano.
-Serikali imeanzisha mfumo mpya wa manunuzi unaozingatia bei halisi ya soko.
-Serikali Imetoa ruzuku ya bilioni 150 kwenye mbolea ya mazao ya aina zote
-Usahili wa kazi utakuwa kwa lugha ya Kiswahili
-Majengo yote makubwa na masoko makubwa yatakatiwa Bima.
-Punguzo la kodi la Zuio asilimia 5 kwenye Filamu.
-Ongezeko la mshahara Sekta binafsi
-Serikali imesamehe ushuru wa mazao kwenye mbegu.
-Mama amesamehe kodi kwenye Nyavu za kuvulia samaki.
-Wamachinga wametengewa bilioni 45 kujengewa miundombinu na kuwezeshwa.
-Serikali ya Mama imeondoa VAT kwenye mtindi (Yoghurt).

