ArchAngel
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 4,516
- 3,753
Mungu apishe mbali asije zaliwa mtoto mwenye tabia kama za hovyo Lama za lema popote duniani.Amen
wewe fanya masikhara na Mungu tu.. goliath alijiona kuwa na nguvu kuliko daudi lakini aliuwawa na mkono wa daudi
sasa nyie Chama Cha Mandezi mnajiona mko "untouchable" juu ya sheria mna macho lakini hamuoni mna masikio lakini hamsikii mnasahau kuwa Mwenyezi Mungu huwatumia walio dhaifu kuwaangusha wenye nguvu ili kujidhihirisha uwezo wake mbele ya watu wake
siku yenu yaja.. yetu macho