johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA Godbless Lema anesema Arusha kuna Mahabusu wa kesi za Ugaidi ambao wamekaa ndani muda mrefu kwa sababu tu Mahakama haina fedha.
Lema anesema yeye na rafiki zake wamesema andiko la Shekhe Ponda na wamesikitika sana hivyo amemuomba Jaji Mkuu Prof. Juma awape Bajeti ili yeye na rafiki zake waisaidie Mahakama.
Lema ameongea kwa huzuni kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Mlale unono!
Lema anesema yeye na rafiki zake wamesema andiko la Shekhe Ponda na wamesikitika sana hivyo amemuomba Jaji Mkuu Prof. Juma awape Bajeti ili yeye na rafiki zake waisaidie Mahakama.
Lema ameongea kwa huzuni kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Mlale unono!