We ndio umeongea upuuzi! Ndoto za nyumbani kwako unahusishaje na Taasisi ya urais. Unajua unaingilia privacy ya taasisi hii ya kitaifa. Acheni upuuzi. Hivi unajua watumishi wa MunguUngejua wewe ndo umeongea upuuuuuzi wala usingekoment...hivi kuna kosa gani mtu kusema kile alichoota?si ajabu we mwenyewe unaota kila siku na kuhadithia wenzio