gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,323
- 3,378
Natabiri machafuko kutokea arusha wakati wowote kuanzia sasa. Tusubiri tuone maana watawala wetu hawachukui hatua mpaka waone mambo yameshaharibika.
Kazi tunayo maana hii ndiyo taswila ya viongozi wetu, sina hakika kama wanapimwa akili kabla ya kuteuliwa, ni vizuri kujua hata historia zao za utotoni.
Haya nabiii,tz bana vi2ko kibao!