Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Ili kuweka mambo sawa mkuu wa mkoa na mbunge wote walienda chuoni na vurugu zikatokea. Polisi Mkamateni na huyo mkuu wa mkoa akajumuishwe na lema ili uchunguzi uwe wa haki.
 
Hivi rais wa mkoa kuwaambia wanafunzi hawezi kuongea bila kipaza sauti ni hhalali? Kwamba wanafunzi wasogee mbali naye wana majasho nii sawa? This guy is stupid
 
Wote wanamakosa, sema yanatofautiana kiwango!! Mkuu wa mkoa alivurunda mno, hakutakiwa kufanya vile na haya ndo matatizo ya kupewa cheo bila kuangalia uwezo wa mtu. Sijui CV yake ila hatakuwa na mchango mkubwa saaaana katika taifa letu huko nyuma.
 
Haya madaraka ya kupewa huwa yanalevya sana,huwezi kuleta dharau kwa raia hata siku moja,kwani huyo mulongo ni nani hasa tena wangemtoa hata jicho ili iwe fundisho kwa wengine!!!
 
What a stupid government ever in Tanzania. Utawala wa sheria uko wapi?

Hivi hawa watawala wanataka kila wanachosema mtu akubaliane nacho hata kama ni upuuzi??? Watanzania tunapaswa kubadilika na sio lazima kukubaliana na kila kinachotoka mdomoni mwa watawala. Tunapaswa kujiuliza je ni sahihi anachotamka mtawala?

Lazima tufike level ya maturity kifikra..unless tutakuwa kama kondoo anayepelekwa kuchinjwa kila siku badala ya kuwa simba pale tunapoona hatari.

Tanzania ya mwalim nyerere si ya leo..
 
KM vipi tuambieni tuje Arusha, hakuna nguvu ya majeshi iliyoshinda nguvu ya UMMA!
 
Ona sasa mpaka unashindwa kuandika.. AKILI SA HIVI HUNA KABISA... AU KUNA MTU ANAKUSHIKA MAHALI NDO MAANA UNATETEMEKA KUANDIKA

wapi pamekosewa au ni viroba ulivyo tumia.majambazi yote dawa yao ndio hii
 
Vita ya panzi faida kwa kunguru mkuu wa mkoa na mbunge wanavutana kibaka aliyeua anapeta mtaani.Mkuu wa mkoa anatakiwa ajiulize kama viongozi walikuwa wengi kwenye tukio iweje yeye ndio azomewe?
 
Back
Top Bottom