MD24
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 745
- 254
Mimi binafsi sishangai na haya yanayoendela. Sisi waTZ Ndio tuna matatizo makubwa kwa kuendelea kukubali kutawaliwa na hawa ccm. Nashindwa kuelewa sisi watanzania kama kweli tuna nia ya dhati ya kujikomboa.
Kama nchi zingine wameweza kuzitoa serikali dharimu madarakani kwa nini sisi tunashindwa? tunaogopa nini? Tukae tukijua, ccm wanatuona wapumbav na mabwege ndio maana wanafanya lolote watakalo na sisi tunaendelea kulalamika humu. Wanajua hatuwezi kuwafanya lolote.
Tukae tufahamu kuwa hawa ccm hawana nia njema na sisi raia, pia tusije kutarajia kuna siku itafika watatuita kwenda kuchukua haki yetu, NEVER. Sasa kwa kuwa tumekubali kuendelea kutawaliwa na awa madharimu, basi hatuna budi pia kukubali kile watufanyiacho.
Kama nchi zingine wameweza kuzitoa serikali dharimu madarakani kwa nini sisi tunashindwa? tunaogopa nini? Tukae tukijua, ccm wanatuona wapumbav na mabwege ndio maana wanafanya lolote watakalo na sisi tunaendelea kulalamika humu. Wanajua hatuwezi kuwafanya lolote.
Tukae tufahamu kuwa hawa ccm hawana nia njema na sisi raia, pia tusije kutarajia kuna siku itafika watatuita kwenda kuchukua haki yetu, NEVER. Sasa kwa kuwa tumekubali kuendelea kutawaliwa na awa madharimu, basi hatuna budi pia kukubali kile watufanyiacho.