Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Kwa hiyo Lema atakuwa mahabusu hadi jumatatu... This is very irritating. Hivi Arusha ina polisi wangapi na wafuasi wa Lema wangapi...
 
Akili za bavicha hizi...

nilichojifunza kwako wewe, sumu na wengineo huwa mnasema sana kuwa wanachadema huwa wanawatukana na hawawàjibu kwa hoja. Kumbe nanyi ni walewale. By the way mi si mwana BAVICHA ila ni MTANZANIA mwenye mapenzi na masikini wenzangu ambao tumeteswa na watu tuliowapa dhamana wakashindwa kutuongoza. Kama CCM itaendelea kutumia mbinu hizi chafu na kushauiriwa na watu kama wewe basi 2015 sahau ikulu.
 
nilichojifunza kwako wewe, sumu na wengineo huwa mnasema sana kuwa wanachadema huwa wanawatukana na hawawàjibu kwa hoja. Kumbe nanyi ni walewale. By the way mi si mwana BAVICHA ila ni MTANZANIA mwenye mapenzi na masikini wenzangu ambao tumeteswa na watu tuliowapa dhamana wakashindwa kutuongoza. Kama CCM itaendelea kutumia mbinu hizi chafu na kushauiriwa na watu kama wewe basi 2015 sahau ikulu.

Kama unataka kujibiwa kwa hoja acha viroja.

Haya twende kwenye hoja: Je, unaunga mkono watu kujazana kituo cha polisi baada ya Lema kukamatwa?
 
Kama unataka kujibiwa kwa hoja acha viroja.

Haya twende kwenye hoja: Je, unaunga mkono watu kujazana kituo cha polisi baada ya Lema kukamatwa?
mkuu hivi ulishajibiwa hoja na mwana-CDM yeote humu Jf zaidi ya kutukanwa?
 
What is the fate of arresting Lema?
Ataumia kisaikolojia? - sidhani
Atapunguza juhudi za kupambana na udhalimu wa serikali? - sio rahisi
Atapatikana na hatia afungwe jela? - I don't see it...
Itasababisha wananchi wamchukie hivyo kumshusha Lema hadhi kisiasa? - hata kidogo
Itasabisha CDM ichukiwe? - wala
Itamuumiza Lema kimwili? - may be, but so what?

Sasa kulikuwa na haja gani ya kuwafanya makumi ya askari waache shughuli zao na kwenda kuhangaika na Lema?
 
Baada ya mabishano ya muda mrefu nyumbani kwa kada huyu na Mbunge wa Arusha mjini na uvamizi onevu wa Polisi wakati huu wa usiku; Mh. Lema amekubali kukamatwa na amechukuliwa na gari la polisi wakati huu na kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha yaani Central Polisi.

Wananchi wengi wamejitokeza ku-support mbunge wao na huenda Asubuhi wananchi wakawa wengi zaidi.

Scene two ni hali itakavyokuwa huko polisi.

Updates
Sasa wamefika CLocktower anasindikizwa na msululu wa magari ya makada waliojitokeza ku-support kuelekea kituo cha polisi.

Baada ya kumfikisha Lema Central police Arusha amesachiwa na kuingizwa ndani. Kamanda Lema alikuwa ameambatana na magari ya makamanda waliomsindikiza ili kushuhudia kinachojili hapo kituoni.

Hivi sasa polisi wamewafukuza makamanda wote hapo kituoni na kuwaambia hawatakiwi kuonekana hapo. Makamanda wameondoka kwa amani na kwenda kupaki Safari hoteli wakisubiriana kupata mwongozo.

03:41am
Wamekutana pembeni ya kituo cha polisi na wamekubaliana kuwa watawanyike wakalale hadi kesho asubuhi watajuzwa kinachoendelea. Hivyo, Lema yupo ndani na wananchi waliomsindikiza wametawanyika kwenda kulala. Tutaonana asubuhi kwa yale yatakayojiri.

Earlier by Emanzi:
nakumbuka siku moja MBOWE akiwa mikoa ya Iringa na MBeya aliwaasa wana-CDM sasa kuachana na siasa za vurugu na kwamba wajiandae kuchukua nchi, mbona ni kama ndo vurugu zimezidi, wamekata tamaa ya kuchukua nchi?
 
Mnazingua sana!
amekamatwa kisheria au ni propaganda zenu za jamii forum
na 7bu za kukamatwa zitakuwepo huenda waliona wakimkamata mchana kutakua na fujo zaidi!
na watanzania walio wengi hawana elimu ya kujitambua wao wapo kishabiki zaidi badala ya kuacha mkono wa sheria
 
Kwa hiyo Lema atakuwa mahabusu hadi jumatatu... This is very irritating. Hivi Arusha ina polisi wangapi na wafuasi wa Lema wangapi...

Hapo sasa! Hivi serikali ya ccm inadhana police wao ni wengi kuliko wananchi? Kuna siku hao polisi watachukiwa na wananchi na mtawindwa...nimeangalia video ya IAA mkuu wa mkoa alionyesha dharau wazi wazi na suti yake ya bei rahisi..zero brain kabisa yule...
 
JK na CCM wameamua kuifanya Tanzania kama danguro kwa kunajisi kila taasisi nyeti ya umma/serikali. Walianza na NEC & TISS, kisha Polisi, baadaye wakaitenda Mahakama na sasa Bunge. Kitakachofuata sote tunajua, na hatupendi kitokee.
 
nakumbuka siku moja MBOWE akiwa mikoa ya Iringa na MBeya aliwaasa wana-CDM sasa kuachana na siasa za vurugu na kwamba wajiandae kuchukua nchi, mbona ni kama ndo vurugu zimezidi, wamekata tamaa ya kuchukua nchi?

Hivi waliofanya maandamano ni wafuasi wa chadema ama wanachuo...sikuelewi...ama wanachuo wote wa tz ni subset wa wanachadema tz??
 
Kiukweli watanzania hatuangalii viongozi makini tatizo tunafuata mkumbo haya sasa mmechagua magaidi na majambazi yaliyokubuhi

Acha kuropoka bila kuwa na habari kamili...naomba utafute video recording ya tukio zima la IAA ndo u comment...kiongozi gani ni hasara lema ama yule wa kupachikwa pale arusha
 
Nidham ya woga cpendi kuipalilia naililia tz kwa ahad zao bandia ccm elimu zao zakikuda na degree za kuunga unga ndomana wanaboronga!
 
KWELI NAMSHANGAA ATA KIKWETE, IVI ANASHINDWA ATA KUMSHAURI MKUU UYU WA MKOA? IVI HAONI MADHARA YAKE KWA CCM, IVI AMUONI KUWA MKUU WAKE WA MKOA UWEZO WAKE WA KUONGOZA UMEFIKIA KIKOMo.
MH KIKWETE TNAKUOMBA USIMAMIE HAKI KWA WANANCH WAKO KWANI TUNADHULUMIWA NA HAWA ULOWAAMINI
 
Baada ya mabishano ya muda mrefu nyumbani kwa kada huyu na Mbunge wa Arusha mjini na uvamizi onevu wa Polisi wakati huu wa usiku; Mh. Lema amekubali kukamatwa na amechukuliwa na gari la polisi wakati huu na kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha yaani Central Polisi.

Wananchi wengi wamejitokeza ku-support mbunge wao na huenda Asubuhi wananchi wakawa wengi zaidi.

Scene two ni hali itakavyokuwa huko polisi.

Updates
Sasa wamefika CLocktower anasindikizwa na msululu wa magari ya makada waliojitokeza ku-support kuelekea kituo cha polisi.

Baada ya kumfikisha Lema Central police Arusha amesachiwa na kuingizwa ndani. Kamanda Lema alikuwa ameambatana na magari ya makamanda waliomsindikiza ili kushuhudia kinachojili hapo kituoni.

Hivi sasa polisi wamewafukuza makamanda wote hapo kituoni na kuwaambia hawatakiwi kuonekana hapo. Makamanda wameondoka kwa amani na kwenda kupaki Safari hoteli wakisubiriana kupata mwongozo.

03:41am
Wamekutana pembeni ya kituo cha polisi na wamekubaliana kuwa watawanyike wakalale hadi kesho asubuhi watajuzwa kinachoendelea. Hivyo, Lema yupo ndani na wananchi waliomsindikiza wametawanyika kwenda kulala. Tutaonana asubuhi kwa yale yatakayojiri.

Earlier by Emanzi:
Jambo kubwa na la msingi hapa ni jinsi polisi wanavyotumiwa kunyanyasa upinzani na kushindwa kulinda raia na mali zao ila wakigusiwa juu ya wapinzani basi watatoka na silaha nzito kwelikweli pasi kufahamu kuwa hao wanasiasa wanafanya kwa matashi yao .
 
Acha kuropoka bila kuwa
na habari kamili...naomba utafute video recording ya tukio zima la IAA
ndo u comment...kiongozi gani ni hasara lema ama yule wa kupachikwa pale
arusha

tatizo si video naongea na evidence sio magazeti wala nini nyinyi wanajamii forum msibaki kutukana tu ila mtoe hoja za msingi ili tuwajibu kwa hoja me mwanaharakati wa kujitegemea sina chema wala nini nipo me kama me
 
Back
Top Bottom