Mbunge Komba ashtakiwe

Moony

JF-Expert Member
Apr 16, 2011
1,599
435
Inasemekana mh. Mbunge Komba amekuwa na mahusiano kimapenzi na "LULU" kwa muda mrefu.

Kama kweli Lulu hajafikisha miaka 18 na shule kakatiza, je inakuwaje wanaume hawa 'wakubwa' kuachiwa hivihivi wakiharibu watoto na kesho yake kwenda 'Mjengoni' kutunga sheria?

Nijuzeni wenzangu.....
 
Huyu jamb nilishawah muona hoteli moja inaitwa Angoni Arms songea kama miaka 2 iliyopita alikw na watoto kama sio wa form 2 kutoka songea girls hadi ikanibd niondoke eneo lile sbb nilikw naona aibu mie sasa. Hv lile umbo akivilalia vile vitoto brain concussion c hapohapo inaweza kuvipata hvy vitoto
 
Inasemekana mh. Mbunge Komba amekuwa na mahusiano kimapenzi na "LULU" kwa muda mrefu.

Kama kweli Lulu hajafikisha miaka 18 na shule kakatiza, je inakuwaje wanaume hawa 'wakubwa' kuachiwa hivihivi wakiharibu watoto na kesho yake kwenda 'Mjengoni' kutunga sheria?
Nijuzeni wenzangu.....

Hebu funguka tupe data zaidi. eleza chanzo na ushahidi wa tuhuma zako kuwa Mh. naye ni FATAKI!!!
 
Huyu jamb nilishawah muona hoteli moja inaitwa Angoni Arms songea kama miaka 2 iliyopita alikw na watoto kama sio wa form 2 kutoka songea girls hadi ikanibd niondoke eneo lile sbb nilikw naona aibu mie sasa. Hv lile umbo akivilalia vile vitoto brain concussion c hapohapo inaweza kuvipata hvy vitoto

ungechukua picha kwa siri..
 
Kichwa ya habari ni nzito kuliko body......hii yaweza vunja uti wa mgongo wa habari yoooote
 
Huyu jamb nilishawah muona hoteli moja inaitwa Angoni Arms songea kama miaka 2 iliyopita alikw na watoto kama sio wa form 2 kutoka songea girls hadi ikanibd niondoke eneo lile sbb nilikw naona aibu mie sasa. Hv lile umbo akivilalia vile vitoto brain concussion c hapohapo inaweza kuvipata hvy vitoto

Joramjason, kwani ulishawahi kusikia hivyo vitoto vikipata brain concussion..!:rolleyez:
 
Hizi taarifa ni kweli Captain anatembea na Lulu hata mamayake lulu analitambua hilo, na ile nyumba lulu aliosema anaenga kimara ni captain komba ndio anayoijenga, even mke wa komba alishakwenda kumkanya mama yake lulu kuhusu binti kutembea na mumewe akaambulia matusi na hiyo kesi imeshafika ktk familia ya komba a kwa mkewe, ngoma ni nzito kwana ilifikia kipindi lulu alimtukana mke wa komba.

taarifa hizi ni zandani nimezipata toka kwa mdogowake mke wa komba ambaye anafanya kazi na dada yangu.
 
Jamani hawa watoto nao wanatuchosha, kwanza ni vigumu sana kuelewa ni kwa namna gani watoto kama hawa wakike wanaishia kwenye mikono ya haya mafataki tena yenye sura na shepu za kishetani kama Komba. Komba hajaanza leo na hataacha leo, haya ni mapepo yaliyojaa humu duniani na bahati mbaya kwa watoto wetu yanalindwa na nguvu za mapepo wenzao ccm na serikali. Eti hili dudu nalo ni mbunge wa chama tawala anayeshinda kwa kura, ndio maana dawa kamili ni kukazana huku huko kwenye grassroots, wananchi wa songea waulizwe wanatupelekea nini bungeni? lakini hawa wakina kimemeta nao ni ajabu hawatuambii popote pale kwamba wanahitaji maombi kwa ajili ya uchovu walioletewa na haka katoto, ni pepo la ngono limemkamata na huu ndio hasa unakua mwisho wa watoto wasiosikia. sasa kwa umri huu yuko gerezani? hata tukijidanganya kwamba ni gereza la watoto bado ni gereza tu, waombe na kusali sana mungu ampe 2nd chance. Pamoja na hayo mimi sikubaliani na hii hukumu ya kuchukuia hatua, hata mtu mzima unapokabiliwa na abuse ya kupigwa nani atakayeacha kujitete kwa kumsukuma ama hata kumtwange mppigaji, je walitaka akae kimya, ili auawe yeye na tuongelee postmortem? lulu atetewa kisheria naamini atashinda, na baada ya hapo yeye na wazazi wake wakae chini kutafakari yaliyowakuta na kumshukuru mungu kwa revelation, na karudishwe shule kaache umalaya usiokua na faida, kwa nini haya yote jamani? hata majirani za kanumba wanasema walishachoka na kelele za kupigana wapenzi hawa feki. taifa lenye kupenda ngono viongozi wake wote wameshinda kwa kanumba lakini kwa mayunga, kiaro wala mwakanjuki hawataoneka, acha pinda apukutwe laana itaendelea kuwafuata, kikwete nae ndio hayo chama kinamfia, Bilalli bilahaya ka lline up mdogo wake eti nae asikose kula maana ni zamu yao, laana kum haw
 
Kama kuna ushahidi,watu wajitose mahakamani!Wanaharakati hawana kazi,ukiwapa hii issue,itawafaa sana!
 
Jana nimeliangalia hilo DUDU likilalamoka kuhusu jimbo lake,kumbe utumbo mtupu!!!hivi wananchi waliomchagua waliangalia vigezo gani.Samahani mwenye CV yake aiweke humu maana anaendekeza fitna tu bungeni hana point hata moja.Hili la LULU ni kweli kamjengea na gari kamnunulia ila kuendekeza njaa huku hawa watoto watatufikisha pabaya bora nalo nilazimishwe kuresign kwa kulitia bunge aibu.
 
inasemekana mh. Mbunge komba amekuwa na mahusiano kimapenzi na "lulu" kwa muda mrefu.

Kama kweli lulu hajafikisha miaka 18 na shule kakatiza, je inakuwaje wanaume hawa 'wakubwa' kuachiwa hivihivi wakiharibu watoto na kesho yake kwenda 'mjengoni' kutunga sheria?

Nijuzeni wenzangu.....

alimaliza na alifeli ile mbaya. Tafuta uzi wake humu ndani upo
 
Inasemekana mh. Mbunge Komba amekuwa na mahusiano kimapenzi na "LULU" kwa muda mrefu.

Kama kweli Lulu hajafikisha miaka 18 na shule kakatiza, je inakuwaje wanaume hawa 'wakubwa' kuachiwa hivihivi wakiharibu watoto na kesho yake kwenda 'Mjengoni' kutunga sheria?

Nijuzeni wenzangu.....

Una uthibitisho au ndo mambo ya Shigongo?
 
Back
Top Bottom