Inasemekana mh. Mbunge Komba amekuwa na mahusiano kimapenzi na "LULU" kwa muda mrefu.
Kama kweli Lulu hajafikisha miaka 18 na shule kakatiza, je inakuwaje wanaume hawa 'wakubwa' kuachiwa hivihivi wakiharibu watoto na kesho yake kwenda 'Mjengoni' kutunga sheria?
Nijuzeni wenzangu.....
Kama kweli Lulu hajafikisha miaka 18 na shule kakatiza, je inakuwaje wanaume hawa 'wakubwa' kuachiwa hivihivi wakiharibu watoto na kesho yake kwenda 'Mjengoni' kutunga sheria?
Nijuzeni wenzangu.....