IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
mbona haumtakii mema?Mungu ampe pumziko la milele
mbona haumtakii mema?Mungu ampe pumziko la milele
Alisema atawasomea albadiri waliomtesa dr ulimboka au alikuwa anajisomea mwenyewe? Lakini haina madhara kwasababu Yule mwanasayansi wetu kaimwagia kojo kabisa na hakudhurikaRIP Kigwagala
Mkuu hawa jamaa wana canibalism ya ajabu. Kama wengine wanakiabhatua ya kuwakatia wenzao mawasiliano ya simu, ujue hali ya hewa ilishachafuka kitambo. Anyway....naamini ni ajali ya kawaida na tumwombee majeruhi apone haraka. I wish katika kipindi hiki angetembelewa na holly spirit ili aongoke!Ajali haina kinga. Pole Dr.Huenda dereva wako ana uzembe.
Nimepata taarifa za kusikitisha kwamba Mbunge wa Nzega amepata ajali mbaya baada ya gari aliyokuwa akisafiria kuchomoka tairi. Ajali hii imetokea akiwa njiani kuelekea kwenye mkutano mkuu wa CCM Mkoa. Taarifa hizi zimetangazwa mkutanoni na Katibu wa CCM mkoa huo bwana Ame.
Hii ni ajali ya tatu kumpata ndani ya wiki moja, watu wanajiuliza hivi anatafutwa ama ni bahati mbaya tu?
Mungu ampe pumziko la milele
watu wanajiuliza hivi anatafutwa ama ni bahati mbaya tu?
pole sana daktari kigwangalla ,maoni yangu ni kuwa aliyekuanza mmalize.
Kuna afisa uhamiaji alikoswakoswa kuuawa na polisi juzi huko mwanza...
Pole sana mwana JF mwenzetu.
mhh kwani amefariki? Mbona roho mbaya jamani?
chama cha majambazi
tairi imechomoka labda walisahau kuzikagua?
Nimepata taarifa za kusikitisha kwamba Mbunge wa Nzega amepata ajali mbaya baada ya gari aliyokuwa akisafiria kuchomoka tairi. Ajali hii imetokea akiwa njiani kuelekea kwenye mkutano mkuu wa CCM Mkoa. Taarifa hizi zimetangazwa mkutanoni na Katibu wa CCM mkoa huo bwana Ame.
Hii ni ajali ya tatu kumpata ndani ya wiki moja, watu wanajiuliza hivi anatafutwa ama ni bahati mbaya tu?