Mbunge Joseph Mbilinyi (SUGU) ataka TRA wamtoze kodi RICK ROSS show ya leo...

Sugu achana na Ross, vinega wapo wapi? Tunataka show bana.......anti-virus imekuwa outdated
 
Yes nisahihi huyo ross akatwe kodi kwenye pato lake la leo. Sio aje achume na kuondoka wakati walim mshahara 469000 kwa mwezi nakatwa kodi. yeye kwa cku ni zaidi ya milion 100 halafu akatwi kodi. So tra ikate kodi hapo. Kama tz ina mkataba na usa kuhusu double taxation, sisi tukate huku atasamehewa kwao huko.

Nikweli kapewa 800mil
 
Sugu kichwa chake kinawaza disko tu...

vitu vingine ni kufikiri tu kama mtu mzima?
Hivi kuna msanii wa bongo anaweza piga show America bila kulipa kodi?

Saa nyingine tufikiri kama watu wazima! Hivi wasanii wetu wana lipwa pesa ndogo lakini rick ross ana lipwa pesa kubwa lakini hata kodi halipi.
 
sasa ww kupe kama serikali inamtambua ndio asilipe kodi?mbona simba na yanga wamekatwa milioni 56 kwenye mechi ya juzi na tra sasa kwanini yy asilipe tumia akili kidogo sio kila kitu unapinga tu kwasababu kasema mtu wa chadema.
 
ajasema ajue,amesema tujue..tukishajua mjadala ndio utakuwa mtamu zaidi.

Yan taifa lina poteza pesa mwenzio katoa ushauri wewe unaona ana roho ya kwa nini! Ange nyamaza ungeongea!

Kama hujui basi ni kwamba ana jaribu kuwaonesha wasanii jinsi inavyo takiwa!
Niambie rick ross ataleta mchango gani wa haraka kwa taifa?
Usije ukasema ata piga collabo na Ay ndio mchango, sisi tunataka rick ross akatwe ili wasanii wengine nao wakiwa wanakatwa kama kodi wasi shangae!

Yote hayo ni kuifanya nchi yetu ithaminike sio kufanywa shamba la bibi alaf wasanii wetu wana lipwa pesa kiduchu sisi tunachekelea kumuona rick ross wakati hata kodi akatwi:

think twice njiwa si kila kitu ni kupinga tu:

ww kweli njiwa your comments content resembles with ur username

sugu hana lolote zaidi ya chuki binafsi tu! na clouds tu!... FIESTA imeanza lini..?! kuna kipindi pia alikuwa anapiga promo za FIESTA na wasanii wa nje walikuwa wakija.. kwanini kipindi kile asiongelee haya mambo anaongelea sasa..

sugu ni looser flani mwenye roho ya kwanini hataki maendeleo ya wenzake! ...
 
Au siyo mkuu? Maharage kwa mahindi wapi kwa wapi? Sugu atuonyeshe alipolipa "kodi kwa taifa letu" kutokana na show zake za Bongo, achilia mbali zile anazodai kufanya Marekani.

mkuu kwa mh sugu kuna mahali kasema diamond ama linah walipe kodi?
mbona kaongea vizuri sana au mi ndo sielewe?
Kuwa yeye kama msanii akifanya tamasha USA no matter ni dogo ama laa anakatwa kodi na serikali ya USA,
hivyo na big boss akatwe kodi hapa kuna shida?
 
Juzi mechi ya yanga na simba kuna timu zlicheza uwanja wa chamazi zikaingiza elfu 30 tu zikakatwa kodi hili tamasha kwa TRA wameweka pamba zao masikioni na kuacha kukata kodi au ccm wana mkono kwenye hili tamasha?
 
mr 2 anataka kujifananisha na rick ross. Wakati anafahamu kabisa tofauti iliyopo kati ya concert zake yeye za kwenye vi pub marekani na hela yenyewe inaishia mfukuno na kwenda kununua used car . Na rick ross. Tena mwenzake serikali inamtambua na inamlinda akija hapa hadi ubalozi wake unapata taarifa. Na ana bima . Mr 2 acha wivu na chuki kwa clouds waliomleta .

kilaza
 
mr 2 anataka kujifananisha na rick ross. wakati anafahamu kabisa tofauti iliyopo kati ya concert zake yeye za kwenye vi pub marekani na hela yenyewe inaishia mfukuno na kwenda kununua used car . na rick ross. tena mwenzake serikali inamtambua na inamlinda akija hapa hadi ubalozi wake unapata taarifa. na ana bima . mr 2 acha wivu na chuki kwa clouds waliomleta .
Mkuu sikubaliani na wewe kabisa. Kuhusu Ubalozi wa Marekani ni kwa Raia yeyote wa nchi hiyo, tumeshuhudia Ubalozi ukiwatetea raia zake ambao sio superstar. Tanzania haijali raia zake, mabomu yanalipuka Gongolamboto, Rais anapaa kwenda Mauritania. huu ni moja ya mifano ya serikali yetu inavyotudharau. Nenda Airport uone jinsi tunavyonyanyaswa lakini wageni wapo VIP.
Kweli Rick Ross anatakiwa kulipa Tax, lakini hapa atakayelipa ni promoter aliyemleta ambaye anawajibika kusema ni kiasi gani kaingiza ktk mauzo ya Ticket. Rick ameshawekewa pesa yake Bank kabla hajaondoka.
 
Sugu achana na Ross, vinega wapo wapi? Tunataka show bana.......anti-virus imekuwa outdated
Hivi unatumia makalio au kichwa kufikiri? Yanga na simba wameingiza 390m juzi wamekatwa kodi 56m kwa nn hiyu jamaa aliye daka zaidi ya m.200 asikatwe kodi?
 
Kuna watanzania wapuuzi kweli,suala la kulipa kodi halina mjadala...hata wacheza mpira wanakumbana nalo,mfano Nizar Khalfan alipokuwa Vancouver alikuwa analipa kodi huko.Kuna watu wa fikra finyu sana,eti Rick Ross atalipa kodi Marekani,yaani afanye biashara Tanzania kisha akalipe kodi huko nanyi mnachekelea? Kuna mchangia mada sijamwelewa kabisa,eti Sugu aseme yeye alilipa kodi shilingi ngapi kwenye concert zake,hivi hilo ni jukumu la nani? | |Nani asiyeona Tanzania,hadi policemen wananunua CD fake? We have to change our attitude from primitive way of thinking which underdevelops us!
 
Kweli wabunge wengine bwana, eti Sugu khaaaaa! Hivi wanambeya hamkuona watu wooooooote mkaamua Sugu awe mbunge wenu! Wanamwita suguuuu, nani, wanamwita Suguuuuu, waaanamwita Suguu sugu sugu sugu.
 
Joseph Desmund Mbilinyi(MB)haya mambo nyeti sana kwa watz ULIPASWA UYAZUNGUMZE BUNGENI na sio kwenye page yako ya fcbk!

Haijalishi unafanyia wapi show yako kodi lzm ilipwe lkn sijaridhika jinsi alivyowasilisha mapendekezo yake!Kama MBUNGE hujui wapi ukasemee sensitive issue kama hii;Je mm mlalahoi wa Ndandalo-Kyela nitathubutu?
 
Sugu Onyeshwa kwa vitendo kaka,una rungu litumie hizo zaidi ya mil 190 tukipata kodi ya mil 40 sio mbaya au serengeti fiesta walipe 40mils on top ya hiyo 200mils
 
Section
Type of payment
From
To
Rate
Final / non-final
81
Employment
Resident employer
Resident employee
Regulations
Non-finalhttps://www.jamiiforums.com/#_edn1


[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]81
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Employment
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident employer
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Non resident employee
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]15%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Dividend
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident corporation listed on Dar es Salaam Stock Exchange
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]All
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]5%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final [ii]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Dividend
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident corporation not listed on Dar es Salaam Stock Exchange
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]All
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]10%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final [SUP]2[/SUP]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Interest
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Financial institution
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Resident individuals not conducting business
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]10%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Interest
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Other resident persons except resident financial institutions
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]10%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Non-final
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Interest
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Non resident persons
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]10%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final [iii]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Natural resource payment
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Resident persons
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]15%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Non-final
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Natural resource payment
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Non resident persons
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]15%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final [SUP]3[/SUP]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Rent for land or building
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Resident individuals not conducting business
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]10%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final [SUP]3 [iv][/SUP]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Rent for land or building
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Resident persons in business
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]10%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Non-final
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Rent
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Non resident persons
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]15%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final [SUP]3[/SUP]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Royalty
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Resident persons
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]15%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Non-final
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]82
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Royalty
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Non resident persons
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]15%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final [SUP]3[/SUP]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]83
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Service fee
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Non resident person
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]15%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]83
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Mining technical service fee
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Resident person
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]5%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]83
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Insurance premium
[/TD]
[TD="width: 444, bgcolor: transparent"]Resident person (except individuals not conducting business)
[/TD]
[TD="width: 180, bgcolor: transparent"]Non resident person
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]5%
[/TD]
[TD="width: 96, bgcolor: transparent"]Final
[/TD]
[/TR]



[i
 
Kweli wabunge wengine bwana, eti Sugu khaaaaa! Hivi wanambeya hamkuona watu wooooooote mkaamua Sugu awe mbunge wenu! Wanamwita suguuuu, nani, wanamwita Suguuuuu, waaanamwita Suguu sugu sugu sugu.

Kwa akili yako unadhani kwa hili nyesi uliloweka hapa ndo utabadili mindsets za wana Mbeya?
 
Sheria ya kodi anawataka wanaomlipa ndo wawithhold hiyo kodi na kuilipa TRA. Hivyo hata kama clouds walishamlipa bado wapo liable kupeleka asilimia 15 ya hela wlomlipa TRA kama withholding tax. Hiki ni kitu tra wanatakiwa wafunguke macho. Well said Sugu
 
Kweli wabunge wengine bwana, eti Sugu khaaaaa! Hivi wanambeya hamkuona watu wooooooote mkaamua Sugu awe mbunge wenu! Wanamwita suguuuu, nani, wanamwita Suguuuuu, waaanamwita Suguu sugu sugu sugu.
Kwetu msumbiji watu wenye mawazo kama yako ni waokota makopo
 
Back
Top Bottom