Mbunge Joseph Mbilinyi (SUGU) ataka TRA wamtoze kodi RICK ROSS show ya leo...

Sugu ni waziri kivuli wa michezo na burudani..ulitakaje mkuu???wewe ulishaskia Magufuli anazunguzia elimu??yeye ni mabarabara tu kila siku!!umeona eeh!!....yani jinsi ulivyo kitunguu wewe unamjadili Sugu badala ya kujadili alichokisema Sugu.
Kaka wewe ndio msemaji wa sugu? Naona upo busy kuweka mambo sawa, hahaha
 
Kwani ni msanii gani wa ndani alishawahi kulipa kodi baada ya show hapa bongo? Zile show za Vinega, hasa ile ya Ustawi wa Jamii zilipatikana sh ngapi! na kiasi gani kililipwa kama kodi?
Hatuna huu utaratibu wa kodi ki-Bongo Bongo, by the way Facebook sio mahali pa kutolea tamko, sio tamko rasmi.
 
Kwani ni msanii gani wa ndani alishawahi kulipa kodi baada ya show hapa bongo? Zile show za Vinega, hasa ile ya Ustawi wa Jamii zilipatikana sh ngapi! na kiasi gani kililipwa kama kodi?
Hatuna huu utaratibu wa kodi ki-Bongo Bongo, by the way Facebook sio mahali pa kutolea tamko, sio tamko rasmi.

Nyie mnapoteza muda na huyo mtindio wa ubongo.
 
Ukisoma michango ya watu kwenye mada hii hakika utagundua
hiki kizazi cha leo kinaelekea wapi!
badala ya kujadili mada wanamjadili mtu :shock:
 
Rick Ross amekuja kutalii na kuiona Tanzania.Clouds hawana ubavu wa kumlipa The big boss Ross.Clouds wana uwezo wa kuwapa laki tatu tatu wasanii wa bongo ili nyimbo zao zipigwe radioni.
 
Sugu bado ana uchungu na laki tatu yake aliyozulumiwa na promota koko Ruge mutahaba.Akatunga nyimbo kama "moto chini" na "wanakuita sugu"

sugu please samehe hizo kilo3,kilo 3 kitu gani baana wakati dili zako ni milioni 1,2,3 mpaka 7 kwa mwezi.
 
mr 2 anataka kujifananisha na rick ross. wakati anafahamu kabisa tofauti iliyopo kati ya concert zake yeye za kwenye vi pub marekani na hela yenyewe inaishia mfukuno na kwenda kununua used car . na rick ross. tena mwenzake serikali inamtambua na inamlinda akija hapa hadi ubalozi wake unapata taarifa. na ana bima . mr 2 acha wivu na chuki kwa clouds waliomleta .

Sugu ni mzalendo na ana akili kuliko nyie mnaotumiwa na magamba kuwahadaa vijana na fiesta zenu huku mkipewa makombo ya vijisenti; kodi hulipwa mahala pale mtu alipopata mapato!! ITAKUWAJE MTU ALIPWE PESA HUKO MAREKANI HALAFU MNASEMA ANALIPA KODI HUKO HUKO KWA KAZI ALIYOFANYA BONGO NA KUPATA FEDHA BONGO? KUKUBALI WIZI HUO NI UJUHA UNAOPELEKEA NCHI HII KUWA KICHWA CHA MWENDAWAZIMU!! SUGU AMELETA HOJA YA MAANA AMBAYO TRA WANATAKIWA WAFUATILIE KWA KARIBU.
 
mr 2 anataka kujifananisha na rick ross. wakati anafahamu kabisa tofauti iliyopo kati ya concert zake yeye za kwenye vi pub marekani na hela yenyewe inaishia mfukuno na kwenda kununua used car . na rick ross. tena mwenzake serikali inamtambua na inamlinda akija hapa hadi ubalozi wake unapata taarifa. na ana bima . mr 2 acha wivu na chuki kwa clouds waliomleta .

Kodi ni kodi tu hata kama mtu anafanya show kwenye disco vumbi kodi inapaswa kulipwa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Kupe hana akili kabisa, lazima atakua CCM
 
Kodi kwa nchi yetu ndio hoja hapa.

Tra- wajibu hoja hii au mpaka malumbano yahamie dodoma ndio tutaelewa vizuri kwamba tunapoteza mapato kiasi gani kwenye biashara ya burudani?

Sugu boy keep it up usikae kimya.
 
Alichoongea Sugu ni cha maana sana kwani kinatupa changamoto ya kufuatilia mambo ambayo wengi wetu tulikuwa hatuyajui kabla.
 
Kwenye ukurasa wake wa Facebook kaandika hivi RICKY ROSS ANAKUJA,SAWA HAINA SHIDA...ILA TUNATAKA KUJUA AMELIPWA KIASI GANI NA ATAKATWA KIASI GANI KIBAKI KWENYE KODI YA TAIFA LETU KAMA AMBAVYO MIMI NIKIENDA KUFANYA SHOW/CONCERT MAREKANI NAKATWA KODI NA SERIKALI YAO...

Okay, Mh. Kakumbushia kitu muhimu. In future hii kitu iwe considered km ilisahaulika then ktk contracts zijazo kipengele cha kodi kiwepo. Hawa jamaa kwao wanabana sana masuala ya kodi.
 
Kwenye show alizofanya hapa Tanzania yeye Sugu ameshawahi kulipa kodi? Tuanze na yeye kwanza.
 
sasa badala wana jf mjadili jinsi ya kupata hiyo kodi kwa kuangalia kama zipo
taratibu au sheria ambazo TRA wanaweza kupata hayo makato/mapato katika hayo malipo
wengine mnaanza kumponda mr 2.... kumjua mtu sio inshu .... (angalia hanaongea nini co kavaa nn)
 
ameongea point ya maana sana aisee...mtu anakuja kubeba milioni mia kadhaa ndani ya usiku mmoja kisha atuachii ata shilingi kumi!!?
Tatizo hii biashara ya burudani watu wanaichukulia ivo ivo kiburudani burudani.
Wasanii wetu nao wanachofulaia kwenda kumshuudia RickRoss kwa karibu,yani ata wapewe laki poa tu..ili mradi watapiga picha na rickross,mwenzao akimaliza show anakunja mamilioni yake anasepa wao wanarudi mtaani kuilalamikia serikali haiwajali..ngoja ninyamaze zangu wasije sema vinega hao wameanza mambo yao.

Hakuna sırkal dunıanı ınayoendeshwa bıla kodı, Mh Sugu anachosema nı kwelı huwezı kupıga shwo USA bıla kukatwa kodı, mbalı na kwamba wanatembelea nchı yao walıyoıteka kımazıngara wanatakıwa kuacha chochote hapa nyumbanı.
 
Kaka wewe ndio msemaji wa sugu? Naona upo busy kuweka mambo sawa, hahaha

kuweka mambo sawa kwenye ishu zenye tija kwa taifa,sio mpaka niwe msemaji wa mtu...siku zote nasapoti ishu nazoona za maana..angeongea hii hoja mtu kama January makamba mngemuita kichwa,ila kwa kuwa Sugu ni bange zinamsumbua.
 
TRA inaongozwa na vilaza.. Wanaacha source nyingi sana za kodi.. Katika hali ya kawaida mgeni yeyote au kampuni toka nje inapokuja na kuingiza mkwanja hapa lazima wakatwe kodi katika malipo hayo.. Tuache kuangalia ushabiki wa vinega na clouds hapa..
 
Back
Top Bottom