Come again bro... i didn't get your point!!Meya wa Ilala ni kama Spika wa bunge tu kutokana na " unyeti" wa Jiji la Dar es salaam (sasa) hivyo anajua mambo mengi ya kiuongozi, kikanuni na kisheria.
Hivyo basi Jerry Slaa ni tofauti kabisa na Kibajaji wa Mtera.
Kongole kwake meya mstaafu Jerry Slaa!
Sema enzi za JK alikatwa, Enzi za Mwendazake ndo hiyo yuko hapo.Silaa ni The learned lawyer? naona amebeba makabrasha kibao!
Enzi za mwendazake alikatwa, utimu lowassa ulimponza huyu kijana machachari.
Laana inawatafuna hawa,acha wamalizane wao kwa waoMajamaa hayaaminiani...
Tundu Lissu aliwaambiaga hawakumwelewa .... "Wakishatumaliza wapinzani, watakosa wa kuwaonea, watarudi kwenu"
Sasa mtu anahamasisha ulipaji wa kodi kwa wabunge tayari wanataka wamgeuze mhujumu uchumi
wata m fastrate tu kwa maswali ya kijingaKamati imejaa akina Kibajaji watamhoji nini?
Niko tayari. Kwa taarifa yako ni mjumbe pande za ukongaUtahojiwa
wata m fastrate tu kwa maswali ya kijinga
Mh Jerry kaja na lundo la mavitabu makubwa yaliyo sababisha mwenyekiti wa kamati na wajumbe wake kupigwa butwaa kwa sekunde kadhaa. Sitashangaa haya mahojiano yakichukua wiki kwa muonekano wa maandalizi ya utetezi wa shaidi. Ndio ukute mwenyekiti alihepa umande, hapo sasa!
Labda alivyomuumbua Speaker kwa kusema ukweli kwamba Wabunge hawalipi PAYEAisee, hivi huyu anatuhumiwa nini??
HaaaaaaaAmekataa escort ya bure kwa hisani ya awamu ya tozo!
Kabisawata m fastrate tu kwa maswali ya kijinga
Mibunge hovyo kabisaa...Alisema "na wabunge nao wakatwe kodi ktk mshahara wao kwani hawakatwi"
Weeee mijibunge mifisadi na isiyoridhika ikamjia juu
Jpm jiziHii nchi haiitaji Rais mlenda mlenda, polisi wameanza kudharauliwa Upya,
hongera JPM enzi zako mambo ya kijinga hayakuepo kila mmoja alikua na nidhamu