Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,131
Slaa mbunge wangu chapa kazi.
Hao CCM wamezoea wizi
Hao CCM wamezoea wizi
Ni ile ishu yake ya kutamka wabunge nao walupage kodi/tozoAisee, hivi huyu anatuhumiwa nini??
Hili swali la msingi sana, na wengi wanauliza na wengi tunapenda kujua ila majibu hayaji yenye mashiko yaani kama vile hakuna la msingi analoitiwa.Jerry silaa anatuhumiwa nn?
Hivi mtu kusema wabunge nao wakatwe Kodi,ni kosa la kusindikizwa mpaka na police?
Dah, hakika hawa si watetezi wetuAlisema "na wabunge nao wakatwe kodi ktk mshahara wao kwani hawakatwi"
Weeee mijibunge mifisadi na isiyoridhika ikamjia juu
KumbeUyo ni myongeza tu target ilikuwa Gwajiboy
Chama kimetoka kwenye mikono ya washamba sasa kimerudi kwa wenye nacho.Yani wanamhoji kwa kuwataka wabunge nao walipe kodi???
Unaweza kukuta haya majamaa yamejiwekea kinga za kutokatwa matozo yao
Ni kashenzi shenzi sana!Ndugai wampigie kura za kumtoa u spika
Uko sahihi kabisa.Chama kimetoka kwenye mikono ya washamba sasa kimerudi kwa wenye nacho.
Au nasema uongo ndugu yangu?
Kamati imejaa akina Kibajaji watamhoji nini?hayo makabrasha aliyobeba moja kwa moja inaonesha hana confidence tumefanya sana huu uhuni kwenye midahalo udsm ukibeba hivyo unawachanganya mambugila wanajua uko nondo kumbe umebeba notes za history
Sanaaaaa!Uko sahihi kabisa.
Mama anaupiga mwingi sana...
Na JK yuko Zambia na mama....
Wenye wivu wameze viwembe
Babu hujalala tu?Meya wa Ilala ni kama Spika wa bunge tu kutokana na " unyeti" wa Jiji la Dar es salaam (sasa) hivyo anajua mambo mengi ya kiuongozi, kikanuni na kisheria.
Hivyo basi Jerry Slaa ni tofauti kabisa na Kibajaji wa Mtera.
Kongole kwake meya mstaafu Jerry Slaa!
Kabisa....Sanaaaaa!
Tuko vizuri!
Maisha kwa mtz yamekuwa rahisi sanaaaaa,