Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,680
Kuna mkubwa flani hapo bungeni kaitwa baada ya Jerry kuwapiga mkwara askari wanao msindikiza. Alipo jibishana na Jerry maneno mawili matatu akatoa kadi nyeusi nadhani ya mualiko mfukoni mwake akamwambia mbunge Karibu na kwa mshangao mbunge akatii. Haya mambo kumbe si kwenye bar tu.