Chizy Za kitaa
Senior Member
- Jan 7, 2014
- 167
- 13
Mbunge wa mbinga magharib Captain john komba juzi siku ya Ijumaa KUU alitembelea parokia ya Tingi huku akiwa na nia ya kuhudhuria misa takatifu ya ijumaa kuu pamoja na kuteta jambo na wahumini wa parokia hiyo...kiukwel alichelewa kuwasili tofaut na ratiba yake aliyoipanga..
Alipowasili alianza kutolea 7bu ya kuchelewa akasema......"ndugu zangu wanatingi nimechelewa kwa7bu barabara ni chafu sanaaa......" hapa ndo kiin cha mada yangu,,,sasa yeye anasema nimechelewa kwa7bu barabara chafu anamwambia nani sasa, kwan humo kanisan alikuwa waziri wa ujenzi bwana Magufuli? anafanya km hana kisomo..
Alipowasili alianza kutolea 7bu ya kuchelewa akasema......"ndugu zangu wanatingi nimechelewa kwa7bu barabara ni chafu sanaaa......" hapa ndo kiin cha mada yangu,,,sasa yeye anasema nimechelewa kwa7bu barabara chafu anamwambia nani sasa, kwan humo kanisan alikuwa waziri wa ujenzi bwana Magufuli? anafanya km hana kisomo..