Mbunge Busanda apata wakati mgumu

Mbunge Busanda apata wakati mgumu

Joined
Jan 22, 2014
Posts
25
Reaction score
6
Leo kwa mara ya kwanza wananchi wa kata Nyaruyeye wamemuona mbunge wao,baadaya kupotea kwa kipindi kirefu.mkutano ulichelewesha na kwanza saa 12 kasorobo ameongea kwa mda wa dakika tano wananchi wakamzomea bc akaamua kuwapa nafasi ya kuuliza maswali kwa asilimia kubwa wananchi awakulizika la ajabu alianza kurusha noti za elfu kumi ili apate kuondoka eneo la mkutano.
 
Jina lake nani?
Wa chama gani?
 
Jimbo la busanda yuko mbunge wa ccm mwanamke.lakini anawakati mgumu.wakati yeye akila bata dar.kamanda aliphons mawazo alikua akilishambulia jimbo hilo kwa mikutano ya kutosha.cdm noma
 
Leo kwa mara ya kwanza wananchi wa kata Nyaruyeye wamemuona mbunge wao,baadaya kupotea kwa kipindi kirefu.mkutano ulichelewesha na kwanza saa 12 kasorobo ameongea kwa mda wa dakika tano wananchi wakamzomea bc akaamua kuwapa nafasi ya kuuliza maswali kwa asilimia kubwa wananchi awakulizika la ajabu alianza kurusha noti za elfu kumi ili apate kuondoka eneo la mkutano.
Mkuu Kasisi karagwe, huu ndio ujinga usiotakiwa kabisa humu jf, baadhi ya nyinyi members wapya mliojiunga hivi karibuni mnakuja na hoja za utumbo utumbo kama huu kisi cha kulishushia hadhi hili jukwaa letu la jf!.

Unapoleta tuhuma, kwanza ziwe za kweli, be very specific na toa source!, huwezi kuleta tuhuma kama hizi halafu huyo mbunge wala humjui jina!.

Bahati nzuri tangu uchaguzi mdogo wa jimbo la Busada, mimi nilikuwepo, huyu mbunge wa Busanda Mhe. Lolensia Bukwimba, namfahamu fika ni mtu wa namna gani!, kwanza yuko very humble and down to earth, japo sikuwepo eneo la tukio but sio type ya kurusha noti za elfu kumikumi eti ili aondoke!. Mtu anayeweza kufanya hivi ni kichaa tuu peke yake!. Namuomba mtoa hoja athibitishe vinginevyo mode, fungilia thread za utumbo kama hizi, zinatushushia jukwaa letu hadhi.

NB. Mimi kama mwandishi, ukipata tip ya taarifa kama hii, unapaswa usiiaminie moja kwa moja bali fanya any verification possible!. hivyo naomba kama kuna mwana jf mwingine yoyote huko, atuletee uthibitisho wa tuhuma hii!.

Nijuavyo mimi kitongoji cha Katoro CCM haina chake, lakini Busanda in general, bado ni ngome ya CCM!.

Kwa msio jua mnaweza kujikumbusha nilipokuwa Busanda.
Uchaguzi Busanda: Majigambo, Uteuzi na Kampeni ..
[h=3]CCM yanguruma Busanda; Wapinzani chali![/h]

Pasco
 
Ccm wazidi kujianika dhambi za ufisadi zitaendelea kuwatafuna sana
 
Mkuu Kasisi karagwe, huu ndio ujinga usiotakiwa kabisa humu jf, baadhi ya nyinyi members wapya mliojiunga hivi karibuni mnakuja na hoja za utumbo utumbo kama huu kisi cha kulishushia hadhi hili jukwaa letu la jf!.

Unapoleta tuhuma, kwanza ziwe za kweli, be very specific na toa source!, huwezi kuleta tuhuma kama hizi halafu huyo mbunge wala humjui jina!.

Bahati nzuri tangu uchaguzi mdogo wa jimbo la Busada, mimi nilikuwepo, huyu mbunge wa Busanda Mhe. Lolensia Bukwimba, namfahamu fika ni mtu wa namna gani!, kwanza yuko very humble and down to earth, japo sikuwepo eneo la tukio but sio type ya kurusha noti za elfu kumikumi eti ili aondoke!. Mtu anayeweza kufanya hivi ni kichaa tuu peke yake!. Namuomba mtoa hoja athibitishe vinginevyo mode, fungilia thread za utumbo kama hizi, zinatushushia jukwaa letu hadhi.

NB. Mimi kama mwandishi, ukipata tip ya taarifa kama hii, unapaswa usiiaminie moja kwa moja bali fanya any verification possible!. hivyo naomba kama kuna mwana jf mwingine yoyote huko, atuletee uthibitisho wa tuhuma hii!.

Nijuavyo mimi kitongoji cha Katoro CCM haina chake, lakini Busanda in general, bado ni ngome ya CCM!.

Kwa msio jua mnaweza kujikumbusha nilipokuwa Busanda.
[h=3]Uchaguzi Busanda: Majigambo, Uteuzi na Kampeni ..[/h]
Pasco


Pasco


Hivi ww habari zako mbona zinakuwaga utumbo sana ukiambiwa unakuwa mbishi unaleta kujua sana. Alafu ww ndo mkaribisha wageni humu jf. Na kama ww ni mkongwe yepi mafanikio yako.

Basi tumia id inayofahamika kama wenzio akina yericke, ben saanane, mo mtoi nk uonekane wa maana vinginevyo utakuwa mshakunaku
 
Hivi ww habari zako mbona zinakuwaga utumbo sana ukiambiwa unakuwa mbishi unaleta kujua sana. Alafu ww ndo mkaribisha wageni humu jf. Na kama ww ni mkongwe yepi mafanikio yako.

Basi tumia id inayofahamika kama wenzio akina yericke, ben saanane, mo mtoi nk uonekane wa maana vinginevyo utakuwa mshakunaku
Mkuu, shabhibhii nafwa, wewe ni miongoni mwa haya madebe matupu mnaotujazia mautumbo humu jf, ungekuwa angalau na kichwa nazi, ungejua nimezungumzia nini, lakini wewe ni koroma kabisa au dafu tupu!.

Mwalimu Nyerere alitufundisha kuna watu wajinga na wapumbavu!, kwa vile sikujui, bado siwezi kuelewa kama wewe ni mjinga tuu au ni mpumbavu, ila kama ni mjinga, utafungua hizi links Uchaguzi Busanda: Majigambo, Uteuzi na Kampeni ..
CCM yanguruma Busanda; Wapinzani chali!

unione nilifanya nini Busanda na ninamfahamu vipi huyo mbunge wa hapo, na kuulinganisha huu utumbo ulioletwa kumhusu!, nikimaanisha mjinga akielimika, ataacha ujinga wake!, lakini kama ni mpumbavu, sio tuu hutakuwa na muda wa kufungua hizo links, bali hata ukifungua kiubishi ubishi, unaweza usielewe!, and if that being the case, sorry I cant help it!.

Pasco
 
Mkuu Kasisi karagwe, huu ndio ujinga usiotakiwa kabisa humu jf, baadhi ya nyinyi members wapya mliojiunga hivi karibuni mnakuja na hoja za utumbo utumbo kama huu kisi cha kulishushia hadhi hili jukwaa letu la jf!.

Unapoleta tuhuma, kwanza ziwe za kweli, be very specific na toa source!, huwezi kuleta tuhuma kama hizi halafu huyo mbunge wala humjui jina!.

Bahati nzuri tangu uchaguzi mdogo wa jimbo la Busada, mimi nilikuwepo, huyu mbunge wa Busanda Mhe. Lolensia Bukwimba, namfahamu fika ni mtu wa namna gani!, kwanza yuko very humble and down to earth, japo sikuwepo eneo la tukio but sio type ya kurusha noti za elfu kumikumi eti ili aondoke!. Mtu anayeweza kufanya hivi ni kichaa tuu peke yake!. Namuomba mtoa hoja athibitishe vinginevyo mode, fungilia thread za utumbo kama hizi, zinatushushia jukwaa letu hadhi.

NB. Mimi kama mwandishi, ukipata tip ya taarifa kama hii, unapaswa usiiaminie moja kwa moja bali fanya any verification possible!. hivyo naomba kama kuna mwana jf mwingine yoyote huko, atuletee uthibitisho wa tuhuma hii!.

Nijuavyo mimi kitongoji cha Katoro CCM haina chake, lakini Busanda in general, bado ni ngome ya CCM!.

Kwa msio jua mnaweza kujikumbusha nilipokuwa Busanda.
Uchaguzi Busanda: Majigambo, Uteuzi na Kampeni ..
[h=3]CCM yanguruma Busanda; Wapinzani chali![/h]

Pasco

Yaani umemkosoa mleta mada kwa maneno ya shombo na kupinga ujumbe wake kumbe na wewe unaleta maneno matupu yasiyo na tija. Nilitegemea umwage facts na evidence za kuonyesha alichosema mleta ni uongo/sio sahihi, kumbe nawe unatuletea speculation na opinions zako. Mkuu kama unavyojitanabaisha wewe ni mkogwe humu, basi hapa hujaonyesha huo ukongwe wako.
 
Yaani umemkosoa mleta mada kwa maneno ya shombo na kupinga ujumbe wake kumbe na wewe unaleta maneno matupu yasiyo na tija. Nilitegemea umwage facts na evidence za kuonyesha alichosema mleta ni uongo/sio sahihi, kumbe nawe unatuletea speculation na opinions zako. Mkuu kama unavyojitanabaisha wewe ni mkogwe humu, basi hapa hujaonyesha huo ukongwe wako.
  1. Leo kwa mara ya kwanza wananchi wa kata Nyaruyeye wamemuona mbunge wao,baadaya kupotea kwa kipindi kirefu.
  2. mkutano ulichelewesha na kwanza saa 12 kasorobo ameongea kwa mda wa dakika tano
  3. wananchi wakamzomea bc akaamua kuwapa nafasi ya kuuliza maswali
  4. kwa asilimia kubwa wananchi awakulizika la ajabu alianza kurusha noti za elfu kumi ili apate kuondoka eneo la mkutano.
yule mama Asumpta Mshana aliyetetea Escrow
Mkuu, Kingmairo, angalia nilipo bold ni facts whic doesn't make sense!, kwanza huwezi kuja na tuhuma bila hata kulijua jina la huyo mbunge, kisha watu wanakuja kwenye uzi huo huo na kumtaja mbunge mwingine wewe mleta mada bado umenyamaza.

Kwa kifupi bandiko hilo lina facts 4, tazama facts mbili za mwisho, yaani baada ya kuhutubia kwa dakika 5, wananchi wakaanza zomea zomea hivyo akaamua kuwapa nafasi kuuliza maswali, lakini wananchi hao hawakuridhika, akimaanisha hata maswali hawakuuliza bali zomea zomea iliendelea, ndipo mbunge akafanya tukio la ajabu kuanza kuwarushia noti za elfu kumi kumi ili wakati wa kigombea noti yeye ndio apate mwanya wa kutoroka!, yaani noti zimerushwa ili aondoke as if alizuiliwa!. Hizi facts hazijakaa right, hata kwa kutumia tuu common sense hili linaonekana!.

Mtu anayeweza kufanya hivi ni kichaa!, sasa ikitokea mtu unamfahamu fika sio kichaa ukaambiwa kafanya kitendo cha ukichaa, huwezi kuamini kirahisi, unless upate verification kwa kichaa huwa kina mwanza, usije kuta ni kweli kichaa kimempanda, ila huyo mwanzisha mada hata kutaja jina?!.

Pasco
 
kwako Pasco
Tukuamini wewe ambaye hukuwepo au kasisi karagwe aliyekuwepo eneo la tukio? kama unampinga tumia basi facts kumpinga fanya research yako kupata taarifa mbadala eneo la tukio utuambie otherwise nasimama na KASISI KARAGWE.

Taarifa yako ni ya mwaka 2009 ndio unatumia kudai ccm ina nguvu Busanda wakati unajua wazi wazungu walisema in politicsIn a lot of change can happen in short time space of time let alone 6 years.
 
Mkuu Kasisi karagwe, huu ndio ujinga usiotakiwa kabisa humu jf, baadhi ya nyinyi members wapya mliojiunga hivi karibuni mnakuja na hoja za utumbo utumbo kama huu kisi cha kulishushia hadhi hili jukwaa letu la jf!.

Unapoleta tuhuma, kwanza ziwe za kweli, be very specific na toa source!, huwezi kuleta tuhuma kama hizi halafu huyo mbunge wala humjui jina!.

Bahati nzuri tangu uchaguzi mdogo wa jimbo la Busada, mimi nilikuwepo, huyu mbunge wa Busanda Mhe. Lolensia Bukwimba, namfahamu fika ni mtu wa namna gani!, kwanza yuko very humble and down to earth, japo sikuwepo eneo la tukio but sio type ya kurusha noti za elfu kumikumi eti ili aondoke!. Mtu anayeweza kufanya hivi ni kichaa tuu peke yake!. Namuomba mtoa hoja athibitishe vinginevyo mode, fungilia thread za utumbo kama hizi, zinatushushia jukwaa letu hadhi.

NB. Mimi kama mwandishi, ukipata tip ya taarifa kama hii, unapaswa usiiaminie moja kwa moja bali fanya any verification possible!. hivyo naomba kama kuna mwana jf mwingine yoyote huko, atuletee uthibitisho wa tuhuma hii!.

Nijuavyo mimi kitongoji cha Katoro CCM haina chake, lakini Busanda in general, bado ni ngome ya CCM!.

Kwa msio jua mnaweza kujikumbusha nilipokuwa Busanda.
Uchaguzi Busanda: Majigambo, Uteuzi na Kampeni ..
CCM yanguruma Busanda; Wapinzani chali!



Pasco

Yeah-,..huyu mama hata mimi namfahamu sana na nimefanya naye kazi akiwa meneja wa VFT-formely SEDA tawi la Dar...ni mpole na mnyenyekevu ajabu sidhani kama anaweza kufanya huo ujinga wa kurusha noti,....anyway_proof inahitajika hapa mkuu
 
Pasco umechemka ile mbaya, kwa kuwa wewe ni miongoni mwa member wanaoheshimika, nakushauri uiache taarifa hii iliyotolewa na mwananchi asiyejua "UANDISHI WA HABARI" itakosolewa ama kuungwa mkono na mashuhuda. Kinyume chake declare interest zako kwa mbunge wa busanda.
 
Last edited by a moderator:
Yeah-,..huyu mama hata mimi namfahamu sana na nimefanya naye kazi akiwa meneja wa VFT-formely SEDA tawi la Dar...ni mpole na mnyenyekevu ajabu sidhani kama anaweza kufanya huo ujinga wa kurusha noti,....anyway_proof inahitajika hapa mkuu

Mkuu IGWE hata paka (nyau) ni mpole sana, tena ni mtaratibu mno, lakini ukimuweka kwenye kona kwa nia ya kumdhuru utajuta kumfahamu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu IGWE hata paka (nyau) ni mpole sana, tena ni mtaratibu mno, lakini ukimuweka kwenye kona kwa nia ya kumdhuru utajuta kumfahamu.

Yeah_inawezekana mkuu,..ndio maaana nimesema proof inahitajika hapa mkuu
 
Pasco umechemka ile mbaya, kwa kuwa wewe ni miongoni mwa member wanaoheshimika, nakushauri uiache taarifa hii iliyotolewa na mwananchi asiyejua "UANDISHI WA HABARI" itakosolewa ama kuungwa mkono na mashuhuda. Kinyume chake declare interest zako kwa mbunge wa busanda.
Mkuu ni kweli, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!, I'm only human!. Huyu Mhe yuko very natural with chocolate color, nywele nywele, shape shape, guu, guu, very humble and down to earth!.
PG4A2665.JPG

IMG_1444.JPG

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vvya Bunge Mjini Dodoma jana.​
IMG_8072.JPG

DSC_0282.JPG

IMG_0753xxx.JPG
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizunguma na Wabunge Lolesia Bukwimba wa Busanda (katikati) na Felista Bura wa Viti Maalum kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma .​
Lolesia.jpg
CCM%20Busada.jpg
IMG_0481.JPG
IMG_8668.JPG
IMG_9222.JPG
FKB_0409.JPG
 
Mkuu Kasisi karagwe, huu ndio ujinga usiotakiwa kabisa humu jf, baadhi ya nyinyi members wapya mliojiunga hivi karibuni mnakuja na hoja za utumbo utumbo kama huu kisi cha kulishushia hadhi hili jukwaa letu la jf!.

Unapoleta tuhuma, kwanza ziwe za kweli, be very specific na toa source!, huwezi kuleta tuhuma kama hizi halafu huyo mbunge wala humjui jina!.

Bahati nzuri tangu uchaguzi mdogo wa jimbo la Busada, mimi nilikuwepo, huyu mbunge wa Busanda Mhe. Lolensia Bukwimba, namfahamu fika ni mtu wa namna gani!, kwanza yuko very humble and down to earth, japo sikuwepo eneo la tukio but sio type ya kurusha noti za elfu kumikumi eti ili aondoke!. Mtu anayeweza kufanya hivi ni kichaa tuu peke yake!. Namuomba mtoa hoja athibitishe vinginevyo mode, fungilia thread za utumbo kama hizi, zinatushushia jukwaa letu hadhi.

NB. Mimi kama mwandishi, ukipata tip ya taarifa kama hii, unapaswa usiiaminie moja kwa moja bali fanya any verification possible!. hivyo naomba kama kuna mwana jf mwingine yoyote huko, atuletee uthibitisho wa tuhuma hii!.

Nijuavyo mimi kitongoji cha Katoro CCM haina chake, lakini Busanda in general, bado ni ngome ya CCM!.

Kwa msio jua mnaweza kujikumbusha nilipokuwa Busanda.
Uchaguzi Busanda: Majigambo, Uteuzi na Kampeni ..
[h=3]CCM yanguruma Busanda; Wapinzani chali![/h]

Pasco
Mkuu Pasco tatizo na ww unaongea kishabiki sana,me pia sikuwepo kwenye eneo la tukio na sijawahi kufika busanda. Lkn namfahamu huyo mama Lolencia bukwimba ambae ni mke wa Masele huyu mumewe tumezaliwa na kusoma nae kijiji kimoja. Huyu masele aligombea ubunge jimbo la msalala kupitia ccm 2005. Alishika nafasi ya 3 akiwa nyuma ya Ezekiel maige(mb) na Emmanuel Kipole ambae alikuwa anatetea. Masele alikuwa na tabia km iliyoelezwa na mtoa mada ya kutupa noti akikuta kundi la watu. Km mume wake ana tabia hiyo,kwa nn mke asifanye!? Kumbuka pia huyohuyo masele aliteuliwa kuwa mbuge wa bunge la katiba. Mkuu jambo lililosemwa nalipa ukweli 80% labda mleta mada anaweza tu kuwa na mapungufu ya uwasilishaji!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kasisi karagwe, huu ndio ujinga usiotakiwa kabisa humu jf, baadhi ya nyinyi members wapya mliojiunga hivi karibuni mnakuja na hoja za utumbo utumbo kama huu kisi cha kulishushia hadhi hili jukwaa letu la jf!.

Unapoleta tuhuma, kwanza ziwe za kweli, be very specific na toa source!, huwezi kuleta tuhuma kama hizi halafu huyo mbunge wala humjui jina!.

Bahati nzuri tangu uchaguzi mdogo wa jimbo la Busada, mimi nilikuwepo, huyu mbunge wa Busanda Mhe. Lolensia Bukwimba, namfahamu fika ni mtu wa namna gani!, kwanza yuko very humble and down to earth, japo sikuwepo eneo la tukio but sio type ya kurusha noti za elfu kumikumi eti ili aondoke!. Mtu anayeweza kufanya hivi ni kichaa tuu peke yake!. Namuomba mtoa hoja athibitishe vinginevyo mode, fungilia thread za utumbo kama hizi, zinatushushia jukwaa letu hadhi.

NB. Mimi kama mwandishi, ukipata tip ya taarifa kama hii, unapaswa usiiaminie moja kwa moja bali fanya any verification possible!. hivyo naomba kama kuna mwana jf mwingine yoyote huko, atuletee uthibitisho wa tuhuma hii!.

Nijuavyo mimi kitongoji cha Katoro CCM haina chake, lakini Busanda in general, bado ni ngome ya CCM!.

Kwa msio jua mnaweza kujikumbusha nilipokuwa Busanda.
Uchaguzi Busanda: Majigambo, Uteuzi na Kampeni ..
CCM yanguruma Busanda; Wapinzani chali!



Pasco
ambavyo hajaleta habari kamili ni kweli taarifa inapungua credit,
ila upande mwingine wewe bwana Pasco umechafukwa kupita kiasi,
sijaona sababu ya wewe kutokwa povu jingi kiasi hiki otherwise you have to declair interest zako hapo Busanda tutakuelewa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco tatizo na ww unaongea kishabiki sana,me pia sikuwepo kwenye eneo la tukio na sijawahi kufika busanda. Lkn namfahamu huyo mama Lolencia bukwimba ambae ni mke wa Masele huyu mumewe tumezaliwa na kusoma nae kijiji kimoja. Huyu masele aligombea ubunge jimbo la msalala kupitia ccm 2005. Alishika nafasi ya 3 akiwa nyuma ya Ezekiel maige(mb) na Emmanuel Kipole ambae alikuwa anatetea. Masele alikuwa na tabia km iliyoelezwa na mtoa mada ya kutupa noti akikuta kundi la watu. Km mume wake ana tabia hiyo,kwa nn mke asifanye!? Kumbuka pia huyohuyo masele aliteuliwa kuwa mbuge wa bunge la katiba. Mkuu jambo lililosemwa nalipa ukweli 80% labda mleta mada anaweza tu kuwa na mapungufu ya uwasilishaji!
Mkuu magode, kwanza asante kwa kutupatia reference ya uwezekano wa kuwezekanika!, ila hili kichaa cha kuonyeshea fedha nakubaliana na wewe, ila ni kwa wanaume wa Kisukuma kutokana na ulimbukeni tuu kuonyeshea wanazo!. Tabia hizi za ubishoo wa jeuri ya fedha, wanazo wanaume wa Kisukuma na sio wanawake!. Mara kibao Msukuma anapokuja bar, akiletewa bili, kwanza atasimama na kuchomoa pochi yenye bulungungutu la mihela, kisha ataitoa minoti yote kwenye pochi, na kuitandaza as if anatafuta a particular one kulipa, ndipo atachomoa noti moja na kulipa!. Nadhani kabila linaloongozwa kwa kuhonga ni wanaume wa Kisukuma kwao noti ni makaratasi tuu!, lakini sio wanawake!.

Kwa kutumia msaada wako, nitapenda kupata uthibitisho wa hili, na likithibitishwa, nitaomba msamaha!.

Pasco
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom