KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nikwamba mbu waliozagaa Muhimbili walisababishwa na wao kitengo cha utafiti maana walizalishwa wengi bondeni Msimbazi na baada yakuzidi katika lubhall wakawafungulia na inasemekana wanaweza kuwa "Mbu hatari kwani niwakutengenezwa"!! Nawahusika wameidanganya serikali na jamii ionekane wametokea mto Msimbazi lakini siyo kweli!!!
Be were of that mosquitos!!: A S-danger:
Be were of that mosquitos!!: A S-danger: