Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Malaria haikubaliki ............................... Hao mbu wamewekewa some chemicals ( geneticaly engeneering) ambapo wameachiwa ili wajamiiane na hawa mbu wa kawaida, na watoto watakaozalishwa watakuwa hawana uwezo tena wa kusambaza malaria, ni stail kama ile ya mbug'o (tse tse fly). Wao wenyewe wanakunywa damu lakini hawaenezi vimelea vya malaria kwa hiyo msihofu.......
hiki ni kichekesho Mganga wa jadi.
BTW Do you mean what tou are saying? or its just a joke.
Kama ni kweli. then we are done!!
unasemaje?