Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Status
Not open for further replies.
Dr Who I get your point, pole sana mazee, halafu bei yao si nzuri kabisa. Ila si haba, browse kwenye table of contents na kama utaona issue yoyote of interest nipatie details mimi nitakutumia kwa email.
 
Haya wazee nashukuru kwa acknowledge na kuchallenge hii habari ya ahmed rajab, nawaombeni radhi wale mlionitumia PM kwamba naharibu muenendo wa mada yenu.

nawaachieni tena uwanja muendelee na Nani Zaidi series...
 
DR WHO

This marriage of CHADEMA and CONSERVATIVES as you have said is a curious specie of its own, frankly I think CCM/Labour partnership used to be better focused and they were on the same paths.

If you look at the idea/logic behind in order to be in partnership or an alliance of some sort you need to have particular set of features that you share in common with the potential partner you have.

This is where i have a problem with Ndabita's contribution:

-CONSERVATIVE party is traditionally focused majority DO NOT support the party's stance in being PRO GAY and the current trend of being PRO ETHINICITY, to put this simply the incumbent leader relaunched his party to represent the true picture of ethnic britain but he is under a lot of pressure from die hards tradinationalists in the party that have made clear that they will not accept non white man/woman in their constituency...

Conservatives around the world are pro Business and pro capitalism, they believe in having fewer nuclues who will employ others-social enterprise they call it.

REPUBLICANS on the other hands are those who in UK believe in relegation of duties from the mornach and having a UK president and an executive prime minister

REPUBLICANS in US are the pro businesses as well,

All these parties are funded by largerly big businessess who in turn are promised unfettered access to the coridorrs of powers and nowadays bankrolling politicians is becoming a norm, Murdoch does it with his papers in return for ''leaks'' and ''exclusives'' that guarantees his papers to lead ahead of his rivals.

Other tycoons expect controversial plans will be manouvred no matter what the price is to achieve greatness, Halliburton in USA is bankrolling REPUBLICANS to the core of their ability, in return they are a semi army providing the US army with all auxilliary services for a fee of course, no wonder their former CEO is vice president DICK CHENEY

Now Compare and contrast that with CHADEMA:

-The Chairman is a son in law of ex-BOT governor, past chairmen includes the ex governor and ex-deputy governor himself.

-All these are by and large big businessmen in tanzanian standards. Mbowe was asked once [this was in london as DRWHO has said] what comes first his businessess or his politics....he said he is not a politician by default rather he is a businessman...this says a lot...

-The secretary general is NDESAMBURO, tycoon by tanzanian standards. Frankly he is a conservative to the core, over 65, tycoon, comes from rich background etc

I think NDABITA you are fooling some people here, it is time you admit, CHADEMA is a gentlemen club that no poor can directly benefit from....it is business first politics later, it is only that by the current situation in tanzania you can't admit that in public, i am sure you have an alliance with CONSERVATIVE for a reason, you have similar backgrounds and ideology...
 
Tarehe 12/9/2006

MWANANCHI HABARI


'Vigogo' Chadema wamwaga misaada KKKT

Na Ally Sonda

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Mbunge wa Viti Maalum wa chama hicho, Grace Kiwelu wametoa msaada wa Sh 4,200,000 ili kusaidia miradi ya ujenzi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Majengo mjini hapa.

Mbowe, kwa upande wake alichangia Sh 2.5 milioni na Mbunge Kiwelu akatoa Sh 1 milioni kwa ajili ya maendeleo ya miradi kanisani humo.

Aidha, mwanasiasa huyo (Kiwelu) alitoa msaada wa Sh500,000 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa choo cha shule ya awali ya kanisa hilo.

Akizungumza mjini hapa baada ya kukabidhi sehemu iliyobaki ya misaada hiyo, Kiwelu alisema kuwa, ili kuhakikisha kuwa waumini wanakuwa na maendeleo kiuchumi, amejitolea Sh 200,000 ili kutunisha mfuko wa Ushirika wa Akiba na Mikopo (Saccos) unaojulikana kwa jina la UWAMKI ulioanzishwa na waumini wa kanisa hilo.

Kwa mujibu wa mbunge huyo, fedha hizo zitatumika kununua baadhi ya samani muhimu za ofisi ya ushirika huo ambao unatarajiwa kuwa mkombozi kwa waumini wa kanisa hilo na wa kata za jirani.

Kwa upande wake, Mbowe alisisitiza kuwa viongozi wa chama hicho, wataendelea kuwasaidia waumini wa madhehebu ya dini nchini ili kujenga taifa la watu waliobobea kwenye imani ya kumjua Mungu kwa kufuata maagizo yake.

"Chama cha kikristu-Chadema na misaada yote inakwenda kilimanjaro kama mnavyooana hapo juu kwanini isiende Singida kwa Mwanasiasa? au Lindi hata mtwara?
na utajua hawana akili hawa watu huko Kilimanjaro tayari kina mizizi badala ya kujitangaza sehemu nyingine, lakini anyway ni Ngo au Saccoss YA kaskazini kazi kwenu akina Lunyungu"
 
Tarehe 12/9/2006

MWANANCHI HABARI


'Vigogo' Chadema wamwaga misaada KKKT

Na Ally Sonda

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Mbunge wa Viti Maalum wa chama hicho, Grace Kiwelu wametoa msaada wa Sh 4,200,000 ili kusaidia miradi ya ujenzi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Majengo mjini hapa.

Mbowe, kwa upande wake alichangia Sh 2.5 milioni na Mbunge Kiwelu akatoa Sh 1 milioni kwa ajili ya maendeleo ya miradi kanisani humo.

Aidha, mwanasiasa huyo (Kiwelu) alitoa msaada wa Sh500,000 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa choo cha shule ya awali ya kanisa hilo.

Akizungumza mjini hapa baada ya kukabidhi sehemu iliyobaki ya misaada hiyo, Kiwelu alisema kuwa, ili kuhakikisha kuwa waumini wanakuwa na maendeleo kiuchumi, amejitolea Sh 200,000 ili kutunisha mfuko wa Ushirika wa Akiba na Mikopo (Saccos) unaojulikana kwa jina la UWAMKI ulioanzishwa na waumini wa kanisa hilo.

Kwa mujibu wa mbunge huyo, fedha hizo zitatumika kununua baadhi ya samani muhimu za ofisi ya ushirika huo ambao unatarajiwa kuwa mkombozi kwa waumini wa kanisa hilo na wa kata za jirani.

Kwa upande wake, Mbowe alisisitiza kuwa viongozi wa chama hicho, wataendelea kuwasaidia waumini wa madhehebu ya dini nchini ili kujenga taifa la watu waliobobea kwenye imani ya kumjua Mungu kwa kufuata maagizo yake.

" Hii inathibitisha ni chama cha kikristu-chadema mbona hawaendi misikitini kusaidia?pia iweje mambo yote yaende Kilimanjaro kwanini huo msaada usiende Singida, Mtwara au Bagamoyo?

kunaposema hiki chama ni wakabila na wabaguzi tunajua tunachosema anyway hii ni saccos wasiojuwa sasa waelewe"
 
Kichekesho kingine huyo bwana anasema anasoma na huu ni muda wa mtu kuwa darasani, kwani kozi yake ni nzito sana undergraduate+masters+MBA na kutoka mabara matatu tofauti-Ulaya,America na Asia.

Mwanafunzi msomaji muda huu yuko shule nadhani akina Balile wanamfanyia mitihani.kazi kubwa ni yale yale ya kina Mrema.
 
sasa kanuni hizo za mawasiliano haziishi tu kwenye lugha, manaweza kuwa mnatumia lugha moja lakini bado mkawa hamuelewani kwasababu bado kuna kanuni nyingine hazijafuatwa,
mfano freeman mbowe ni mwenyekiti wa chama, kwa mtazamo wangu unapotaka kuwasiliana na mtu kama huyo lazima ujitahidi kufuata protocals hizo, mojawapo ikiwa ni kumheshimu yeye na wadhifa wake, siamini kama amekimbia maswali bali hajakuelewa kutokana na lugha unayoitumia, nafikiri ungekuwa makini katika kufuata hizo kanuni za mawasiliano angekuwa ameshatoa majibu.

"Quarz maneno yako hapo juu yanajichanganya sana kama Mbowe hajaielewa lugha yangu huko darasani ataweza kumuelewa mwalimu wake? na sasa ameshatoroka yuko Kilimanjaro makanisani, kweli wewe wakunifundisha protocal?"
 
Mgumu.
Mbowe 1995 hakushiriki mdaharo wa wagombea urais na mtu aliyetamba siku ile alikuwa Professor Lipumba ambaye alikuwa anatoa hoja bila kuwa hata na karatasi, by the way chadema hakikuwa na hata mgombea, sasa mbona unatudanganya?

Mwanasiasa.

Uswaaaaaili uko Chadema najua wewe unaburuzwa tu, Nilimsuta mapema Jasusi kuhusu issue ya Ahmed Rajab sikutaka kwenda mbali hadi kwenye Umma party, nashukuru Tafiti amekata mzizi wa fitina sasa tumejua Jasusi alivyo muongo huku akidai kuleta facts, na alianza mwanzo kumfagilia homeboy mwenzake Nyirabu kuwa ndiye aliyemleta Mbowe, nikamkata zote kuwa ni Mtei ndiye aliyemvuta DJ Mbowe pale BOT.

Philimon Mikael.

ulikuwa wapi? au limeshatoka tamko kuja kunijibu? naona hata Mwanasiasa alikuwa kimya anasubiri instructions toka kwa wakamua maziwa! masikini na usome wote hana kauli ndani ya NGO,

mikael kwani Tanzania kuna elimu hadi darasa la nne? wewe unakataza watu wasilete majungu, kweli Mpakanjia ameishia darasa la nne? naomba maelekezo ya kutosha,
nijuavyo mimi mtu yeyote Tanzania huishia darasa la saba au kidato cha nne au sita na kuendelea, unataka kutuambiwa Mpakanjia alikuwa na special program kama ya Mbowe ambaye muda huu hayuko darasani?

naona una chuki za wazi ndugu yangu Mikael na hiyo ndio simple minded uliyoisema kumbe unajisema mwenyewe,
umeuliza ninaadhimishaje miaka 45 ya uhuru? kwa kusubiri majibu toka kwa Mbowe, Mnyika na NGO ya MZEE MTEI.

MKANDARA.

kama mada hii ni udaku iweje uisome na ikunyime raha? kuna watu wanasoma gazeti la rai wakiamini wao ni watu makini, huwezi kuwakuta wameshika komesha,kasheshe,uwazi au udaku wowote. pilipili usoila inakuwashia nini?
iweje uchangie udaku? iweje usome udaku? kifupi msomaji udaku naye ni mdaku, na mchangiaji mada ya udaku naye ni mdaku,

halafu huoni Chifupa alivyokomaa kisiasa? yeye anajua wazi Mbowe hawezi kufanana naye (amemzidi sana)lakini haji humu au kutuma watu wamjibie?
Mbowe amekuwa akimuiga sana Chifupa, hata aliposikia AC amepeleka pesa timu ya Taifa basi naye Mbowe akaenda kupeleka pesa timu ya taifa (Taifa stars) cha ajabu mwenyekiti mzima kwenda kushindana na binti mdogo tena mambo ambayo si ya kiume sana.KAONA CHIFUPA kapeleke pesa timu ya Taifa naye kapeleka,
kaona chifupa kawafuturisha watu naye kaenda kanisani kutoa pesa.

QUARZ.

kwani mke wa MBilinyi akiona kitu gani?mbona unababaikia wazungu kiasi hicho?yule mama ni masikini tu kama mke wa Remmy Ongara, ukimwambia leo arudi kwao anajiua.

JASUSI.

umeongopa kuwa una fact na kusema Ahmed Rajab anadunda London na anamiliki Gazeti huku ukijua unadanganya wazi, ulidanganya issue ya Nyirabu kuwa alimpa kazi Mbowe nikakutosa mzima mzima, hiyo kazi uliipata vipi? au ndio ule wakati wa kila mtu akitoka huko mkoani kwenu anaingizwa tu huko?imeonyesha wazi uwezo wako mdogo na unategemea uzushi tu, nashukuru Tafiti kakushughulikia vizuri, hatuko hapa kutoa ngonjera tuna facts za kutosha.
 
Mheshimiwa MBOWE.

Kama kweli wewe ni mkweli na umekomaa kisiasa naomba utupe maana ya hili neno "WAPUKI" ambapo wewe ulikuwa member wake.

David Cameron juzi katimiza mwaka mmoja ndani ya ofisi conservative, wakati anapewa madaraka alikiri na kusema wazi zamani alikuwa akivuta bangi lakini yaliyopita si ndwele, jee naomba ujasiri wako? ukiwa mkweli kwa hili, mimi sina mjadala ni kukufuata tu huku Chadema tena nitakuwa mwanachama wa kudumu si kama Mwasiasa(kila chama anapita kuna chama kakaa wiki 2 tu).
 
wewe mmachinga umeuliza sisi tuna details na uzitoa tu tunapoulizwa na paka kama wewe unayelipwa,...kama ni huyo mpakanjia kwa kifupi aliacha shule darasa la nne,mzee si unajua mitihani ya la nne ilirudishwa ,,...so kwa kifupi huyo dada yako amina pale kafuata pesa maana kuna mabrazameni tu wasomi alikuwa akiwapenda ila bahati mbaya hawakua na kitu...

siamini kama mbowe atakuja au bwana mdogo yule kuja kukujibu kwa sababu una pupa ,ur not arranged, i advised u to use field [medadi ]tactics ,ukiwa vitani huwezi kurusha makombora bila kuona majibu ,ili ujue adui ana silaha gani ni lazima urushe makombora ya uchokozi alafu unatulia kidogo kuangalia response then una advance saswa wewe chinga unarusha makombora mia hujajibiwa hushituki tu ,labda umepiga jangwani ,au adui kafa au kakimbia ,,weka mpangilio chinga ,unatukimbizia watu hapa ,unafikiri kama mbowe akifanikiwa si hata jk angeweza nayeye kuingia kuchangia mara moja moja...be tactical
 
Mheshimiwa MBOWE.

Kama kweli wewe ni mkweli na umekomaa kisiasa naomba utupe maana ya hili neno "WAPUKI" ambapo wewe ulikuwa member wake.

David Cameron juzi katimiza mwaka mmoja ndani ya ofisi conservative, wakati anapewa madaraka alikiri na kusema wazi zamani alikuwa akivuta bangi lakini yaliyopita si ndwele, jee naomba ujasiri wako? ukiwa mkweli kwa hili, mimi sina mjadala ni kukufuata tu huku Chadema tena nitakuwa mwanachama wa kudumu si kama Mwasiasa(kila chama anapita kuna chama kakaa wiki 2 tu).

He!
Aisee wewe chinga kweli ni mwingi wa habari, hata ya uanachama wa WAPUKI pia unayajua?

Kwa wanaofahamu wataelewa uzito wa changamoto hii.
 
Chinga ana Mashambulizi ya kujihami. Hizo ni dalili za woga.

Unajua mtu kutokua tayari kukabiliana na changamoto wengi sana huwa ni kutojiamini. Hata mwalimu nyerere anamakala lukuki hiyo ni kuonyesha dalili kuwa ana uhakika na anachokiongea/anachokifanya.

Halafu Sasa chinga mimi nafikiri mwalimu wako wa primary alikuwa na kazi ngumu sana kukuelewesha. Kweli unamjua Amina? Unafikiri Amina atakuja kutuandikia nini?
 
Dr WHO: I can now see your point and may be I can respond to some of your issues. I think the basis of CHADEMA's partnership with the Conservatives has been plainly explained by Ndabita. Ndabita has also explained the ideological stances of CHADEMA almost exhaustively.

That said, it is clear that the contemporary world is experiencing ideological bankruptcy. Thus the formulation of policies is seldom guided by the ideological stance of a party; it is rather gudied by the contemporary societal needs. Actually, the word ideology itself is increasingly becoming anachronistic. That is why today it is difficult to draw clear boundaries between Conservatives and Labour in terms of the policies they are pursuing. What differentiates them is the style and pace of implementing the policies.

Many policies in the UK where you have based your argument, are backed up by legislation rather than Labour's or Conservatives's ideology. Indeed, Blair's Labour is increasingly seen to be pursuing capitalism more so than Cameron's Conservative Party.

In addition to Ndabita's contribution, I personally believe that CHADEMA's alliance with Conservatives is not on the basis of the later trying to contaminate the earlier ideologically. Rather, it is part of the Conservatives's strategic desire to reach out to developing countries that is embedded in its foreign policy.

And lastly to tafiti, with due respect, it is only fools who can accept that there can be any relationship and link between CCM's and Labour's ideology. The only thing the two parties share is for both of them being governing parties. Otherwise, comparing the two parties is like comparing salt and sand just because they have the same texture. Again, it is wrong and completely misleading to say that Ndesamburo is the secretary general of CHADEMA.

To the best of my cognition and recollection, the secretary general of CHADEMA is Dr Wilborad Slaa. This kind of misinformation truly dilutes and makes your identity as evidence based contributor a huge hypocrisy!
 
Dr WHO: CHADEMA's privatisation policy is very simple though not simplistic. It wants to create responsible and patriotic local borgeousies.

We are opposed to the current trend where we don't trust our own entrepreneurs to the extent that we are selling everything to the foreigners. This has reduced our business men and women to be merely comparadors of the foreign tycoons.

So, we have become consumers of foreign goods traded by our fake petty borgeousies. CHADEMA would like to promote ownership of both the means and final products of production in the hands of Tanzanians. That is the basis of slogan 'people's power'!
 
ISSUES

Kitu kimoja kimejitokeza ambacho naona ni cha msingi kuliko mengi ambayo wachangiaji wameyaeleza vizuri bravo wana bodi: lakini this from Chadema tunaomba wa-clarify:

1. Matumizi ya chopper na financier wa hiyo shughuli au tuchukulie hesabu alizoweka Chinga kuwa ni sahihi?

2. Chadema's policy on education.

Kwa maoni yangu ningependelea majibu ambayo yameshiba (comprehensive) ukweli ambao hauna mashaka.

Suala la CCM kupata fedha kutoka Iran ni la msingi ambalo nafikiri nalo lazima lifunguliwe thread yake unless Chadema wanataka kutueleza kwamba wao katika hili wanafanya kama CCM tu katika kupokea fedha wakati wa kampeni i.e. wewe tumia pesa lakini hamna maswali zinatoka wapi kwa wakati huu; na ndicho kitu ambacho sasa hivi JK anafanya – ‘fadhilaka udaka'.
 
Mwanasiasa:

1.Sincere apologies for misleading note on NDESAMBURO, I meant to write Wilbroad Slaa, slip of keyboard/tongue, [HUU NDIO UTAFITI, ukikosea una-apologise sio unang'ang'ania hata kama ni uongo] nevertheless Wilbroad Slaa is in the same league with all of them, the fact is that the actual people running CHADEMA are still not in league with the common people, CHADEMA i am sure has a backing of business community from the north.

Can CHADEMA explain where did they get the 750+m it claims to run the campaigns, if the figures provided by media about the cost of helicopter and money given to NDABITA to run his campaign in Kigoma are anything to go by, 750+ is a small change in CHADEMA's official budget they have spent to run the campaign.

Time to be frank is now...


2. I would like to agree with your point that this marriage btn CHADEMA and CONSERVATIVE is not purely based on ideology but honestly this is an incomplete truth.

You can't forge an alliance without having similarities, this is common sense mwanasiasa. Mbowe said he was in london to advice DAVID CAMERON on African issues, If what you say is true does it mean that CHADEMA's role in CONSERVATIVE alliance is simply to be a ''consultant organisation'' for CONSERVATIVE, what is in it for them?

Can CHADEMA denounce CONSERVATIVE principles and still be allowed to be ''consultant''?!!

Frankly if I had been in a position to be an advisor to CHADEMA'S leadership bunch I would advice them to ditch CONSERVATIVE, lest we forget this is a party of Margaret Thatcher who supported APARTHEID in SA to the core!

It is the party that supported slave trade and opposed the campaigners the likes of William Wilberforce and the like who were all labour?

What exactly does CHADEMA gain to be in relationship with these bunch?

They are changing now because that is the world trend, you can see their private memoirs of their ex leaders, all their leaders comes from privileged background, just like MBOWE and his familly who have led CHADEMA.

I now know that DR LILIAN MBOWE, her maiden name is LILIAN EDWIN MTEI....TRUE OR FALSE MWANASIASA? ISN'T THERE POLITICAL CRONYISM in CHADEMA?

CHINGA's comments might be udaku but they carry the message heavilly...that is why i have come to realise they are not being answered? where is mnyika by the way...

I am not in any political party and I was nearly tempted by CHADEMA but the emerging facts from these forums, have refreshed my conscious...good lord I was about to dip in big hole...




2. CCM /Labour

To say the only similarities they have is that they're both in government is an understatement, they all believed in empowering the comunity in equitable basis that is UJAMAA for you.


The nationalisation of national assets for greater good is also a policy I advocate myself since this means that everyone will have access to the public funding/assistance in times of need.

I will write more on this....

You are misguided ndugu yangu...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom