pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,091
Acheni wivu hakuna anaechaguliwa chama
Watu wana akili lakini hawazitumii kwa manufaa ya wengi, bali kwa manufaa ya wao na matumbo yaoTangu lini chama cha sasa kikataa wanachama....acheni ujinga wa kipumbafu....wanakuja na tunawapokea kama wana chama wawngune....kwani tunapozunguka mikoani kupokea wana chama wapya huwa tunawahoji kwanza.. Hizi tabia sijawahi kuziona dunia ni...
Tuko tayari kwa loloteNashauri cdm isiwachukue wale wote waliotemwa na ccm dodoma. Lengo ni kuepusha minyukano ya chuki Na uhasama wa kivyama. Kwakua sikuzote wajue anaewatoa Kule ndiye mwenye nchi.
Na mienendo yake sio migeni kwa upinzani.
Pia Tumeona jinsi wabunge wa chamadola walivyotoa ushirikiano Katina Sakata la bashite.
Nadhani ni vyema kuwaheshimu kwa hatua walizochukua Katika Chami Chao ili huko bungeni waendelee kunyukana ili washindwe kujua Nani hasa anawatafuna.
Mkiwachukua mnawapa sababu ya wao kuwaona kue nyie ndio masnitchi wao. Mwishowe Wataungana na kuunga mkono hoja hata za kipuuzi ili kuwakomoa.
Nawasilisha
Mkuu elewa jambo hili.. "....what is poison to you is medicine to the other person...."Nashauri cdm isiwachukue wale wote waliotemwa na ccm dodoma. Lengo ni kuepusha minyukano ya chuki Na uhasama wa kivyama. Kwakua sikuzote wajue anaewatoa Kule ndiye mwenye nchi.
Na mienendo yake sio migeni kwa upinzani.
Pia Tumeona jinsi wabunge wa chamadola walivyotoa ushirikiano Katina Sakata la bashite.
Nadhani ni vyema kuwaheshimu kwa hatua walizochukua Katika Chami Chao ili huko bungeni waendelee kunyukana ili washindwe kujua Nani hasa anawatafuna.
Mkiwachukua mnawapa sababu ya wao kuwaona kue nyie ndio masnitchi wao. Mwishowe Wataungana na kuunga mkono hoja hata za kipuuzi ili kuwakomoa.
Nawasilisha
What if wametemwa kwa minajuili ya kuja cdm kupeleleza?Waacheni wajiunge watoe siri za kule walikotoka
unadhani siasa za kenya ndio za kuigwaChadema haitasubiri malaika kutoka mbinguni ili kukijaza chama, ni hao hao. Angalia siasa za wenzetu Kenya, players ni wale wale
What if wametemwa kwa minajuili ya kuja cdm kupeleleza?
Sa kwa kufukuzwa si ndo ili muamini ni wenzenu!Sio kwa staili ya kufukuzwa. Wangetoka wenyewe labda. Kama yule Mwapachu
Siri zao wameondoka nazo wanakuja wapya, hizo siri wanazitoa wapi?Waacheni wajiunge watoe siri za kule walikotoka