mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,345
- 974
YESU alisemaaaa pendaneni peeendani km nilivyowapenda ninyi nanyi pia mpendane
Kwa tope hili la akili, kuna haja ya kupimwa akili yakoSiasa ni watu .... nadhani ni busara kutumia silaha yoyote kumshinda adui ... CHADEMA wasifanye makosa , kama ambavyo wamemchukua WEMA SEPETU wafanye hivyo hivyo kuwachukua wote wanaotemwa CCM.... Sophia Simba anakundi kubwa la akina mama ....
Chadema siyo chama cha wote, ni taasisi ya mtu binafsi kwa manufaa yake na familia yakeKila mtu ana faida na hasara hapa duniani,hata angekuwa mtendaji wa kijiji ni wa kupokea maana anawafuasi kinachoangaliwa ni wafuasi wa mtu hata wakiwa wawili.
CDM pokea yoyote atakayekuja kujiunga na chama,Haba na haba hujaza kibaba!
CDM ni chama cha wote!
Wamefukuzwa uanachama CCM kwa kuisaidia CHADEMA alafu unataka CHADEMA isiwachukue watu waliokuwa Royal kwake. Haya ni mawazo mfu kabisa.hahaha . ..mbowe hapo yupo anaandaa mkutano kuwapokea..hopeless CHADEMA
Mkuu siasa zetu ni za kipuuzi sana angalia Kenya wanavyofanyaChadema haitasubiri malaika kutoka mbinguni ili kukijaza chama, ni hao hao. Angalia siasa za wenzetu Kenya, players ni wale wale
ni kweli ndio maana hatutaki kumtumbua bashiteChadema siyo chama cha wote, ni taasisi ya mtu binafsi kwa manufaa yake na familia yake
Mimi pia nawashauri watakaotoka wasiende Chadema!Nashauri cdm isiwachukue wale wote waliotemwa na ccm dodoma. Lengo ni kuepusha minyukano ya chuki Na uhasama wa kivyama. Kwakua sikuzote wajue anaewatoa Kule ndiye mwenye nchi.
Na mienendo yake sio migeni kwa upinzani.
Pia Tumeona jinsi wabunge wa chamadola walivyotoa ushirikiano Katina Sakata la bashite.
Nadhani ni vyema kuwaheshimu kwa hatua walizochukua Katika Chami Chao ili huko bungeni waendelee kunyukana ili washindwe kujua Nani hasa anawatafuna.
Mkiwachukua mnawapa sababu ya wao kuwaona kue nyie ndio masnitchi wao. Mwishowe Wataungana na kuunga mkono hoja hata za kipuuzi ili kuwakomoa.
Nawasilisha