Mbowe usiwachukue walioachwa na CCM

Mbowe usiwachukue walioachwa na CCM

Hivi wana siri gani kuwashinda waliokuwa mawaziri wakuu sumaye na lowasa? mi ingawa si mfusi wa hivi vyama vya siasa lakini naamini si wote kati yao ni makapi. kuna wanaofaa na wakaleta changamoto na hivyo kuvifanyia mageuzi vyama vya upinzani vikaimarika.
Achana nao magamba wakishaona maji yamezidi unga wanatafuta sababu
 
Tena tunawakaribisha uraiani kwa mikono miwili kutoka kwa mkoloni ccm
 
Nashauri cdm isiwachukue wale wote waliotemwa na ccm dodoma. Lengo ni kuepusha minyukano ya chuki Na uhasama wa kivyama. Kwakua sikuzote wajue anaewatoa Kule ndiye mwenye nchi.
Na mienendo yake sio migeni kwa upinzani.

Pia Tumeona jinsi wabunge wa chamadola walivyotoa ushirikiano Katina Sakata la bashite.

Nadhani ni vyema kuwaheshimu kwa hatua walizochukua Katika Chami Chao ili huko bungeni waendelee kunyukana ili washindwe kujua Nani hasa anawatafuna.
Mkiwachukua mnawapa sababu ya wao kuwaona kue nyie ndio masnitchi wao. Mwishowe Wataungana na kuunga mkono hoja hata za kipuuzi ili kuwakomoa.

Nawasilisha
Mbona waliachwa na wapinzani wanapokelewa CCM ? Acheni uzandiki kama si unafiki wa kiwango cha ibilisi !
 
Ni utamaduni wao kuchukua oil chafu. Hawawezi bei ya oil mpya!
 
Nashauri cdm isiwachukue wale wote waliotemwa na ccm dodoma. Lengo ni kuepusha minyukano ya chuki Na uhasama wa kivyama. Kwakua sikuzote wajue anaewatoa Kule ndiye mwenye nchi.
Na mienendo yake sio migeni kwa upinzani.

Pia Tumeona jinsi wabunge wa chamadola walivyotoa ushirikiano Katina Sakata la bashite.

Nadhani ni vyema kuwaheshimu kwa hatua walizochukua Katika Chami Chao ili huko bungeni waendelee kunyukana ili washindwe kujua Nani hasa anawatafuna.
Mkiwachukua mnawapa sababu ya wao kuwaona kue nyie ndio masnitchi wao. Mwishowe Wataungana na kuunga mkono hoja hata za kipuuzi ili kuwakomoa.

Nawasilisha
Chama ni watu, Mbowe wachukue walioachwa na CCM na hata walioondoka CHADEMA sasa wanataka kurejea wachukue tu
 
Mhe. Mbowe amani iwe kwako. Fukuzafukuza inayoendelea huko Dodoma itaathiri pa kubwa sana mwenendo wa chama hicho. Tutegemee kupata makapi mengi sana kutaka kujiunga na Chadema. Nikuombe usiwapokee wanachama hao maana yatavuruga sana chama chetu. MTU pekee ambaye anatakiwa kupewa kadi endapo atafukuzwa na CCM ni Bashe. Hussein Bashe ni mtu anayejitambua nadhani kwangu Mimi kati ya wachama wa ccm wote huyu ndiyo mwenye akili timamu. Mpokee kwa mikono miwili. Usijaribu kupokea wengine waliotemwa na kamati ya CCM.
Maoni yangu.
Siasa bashe huzijui...uliza jimboni kafanya nn
 
Rasilimali kuu ya siasa ni wafuas kama wakihitaji kujiunga wapokelewe tu kiroho safi...
Nyie ccm mmewafukuza wenyew halaf bado hamtak wajiunge na vyama vingne!!!

Kama bado unampenda umempa talaka ya nn
 
Mhe. Mbowe amani iwe kwako. Fukuzafukuza inayoendelea huko Dodoma itaathiri pa kubwa sana mwenendo wa chama hicho. Tutegemee kupata makapi mengi sana kutaka kujiunga na Chadema. Nikuombe usiwapokee wanachama hao maana yatavuruga sana chama chetu. MTU pekee ambaye anatakiwa kupewa kadi endapo atafukuzwa na CCM ni Bashe. Hussein Bashe ni mtu anayejitambua nadhani kwangu Mimi kati ya wachama wa ccm wote huyu ndiyo mwenye akili timamu. Mpokee kwa mikono miwili. Usijaribu kupokea wengine waliotemwa na kamati ya CCM.
Maoni yangu.
Hawana uwezo wa kutuvuruga Zaidi ya kujivuruga wenyewe hata Dr. Slaa alitegemea kutuvuruga bali tupo Imara sana.
 
Yani ampokee Wema mvuta bangi amwache Sophia Simba?
 
HAkuna binadamu kapi, Kama waliifaa CDM wakati wakiwa ndani ya CCM wanaweza pua kuifaa CDM wakiwa ndani ya CDM
 
Back
Top Bottom