Mbowe uko nyuma ya sakata la Lengai Sabaya

Mbowe uko nyuma ya sakata la Lengai Sabaya

Kweli vijana mmejua jinsi ya kucheza na akili za mkuu.

Yani utuhumiwe kwa kuomba rushwa na anayekutuhumu yupo tena anajiamini kabisa halafu uajiri watu wa kukutetea na kumsingizia Mbowe kisa tu unajua ni mpinzani hivyo utahurumiwa?

Hii nchi Mungu aiponye tu.
 
Kuna kila dalili inayoonyesha Freeman Aikel Mbowe unachochea moto kuhusiana na tuhuma dhidi ya Sabaya.

kwanza ni mahusiano yako ya karibu na mfanyabiashara na wafanyabiashara baadhi wa mahotel hapo Hai

Kulikua na figusi nyingi katika mapato ya serikali ,lakini baada ya Sabaya kuanza kuwashughulikia mmeanza zengwe.

Pia nguvu kubwa ya vijana wako mitandaoni kumshambulia Sabaya mfululizo kana kwamba tayari kapatikana na hatia wakati bado hiyo ni tuhuma.

Lingine pia ni clip walizoleta hadharani vijana wako ,ni mwehu pekee anaweza sema huo ni ushahidi wa kuonyesha anaomba rushwa .

Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.

Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii.
pumbavu
 
Kuna kila dalili inayoonyesha Freeman Aikel Mbowe unachochea moto kuhusiana na tuhuma dhidi ya Sabaya.

kwanza ni mahusiano yako ya karibu na mfanyabiashara na wafanyabiashara baadhi wa mahotel hapo Hai

Kulikua na figusi nyingi katika mapato ya serikali ,lakini baada ya Sabaya kuanza kuwashughulikia mmeanza zengwe.

Pia nguvu kubwa ya vijana wako mitandaoni kumshambulia Sabaya mfululizo kana kwamba tayari kapatikana na hatia wakati bado hiyo ni tuhuma.

Lingine pia ni clip walizoleta hadharani vijana wako ,ni mwehu pekee anaweza sema huo ni ushahidi wa kuonyesha anaomba rushwa .

Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.

Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii.
"Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.

Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii."



Hapo juu umenena vyema wanaolishughulikia hili sakata wakijichanganya tu imekula kwao,wasithubutu ,ninavyomjua Magufuli kuna timu hazifahamiani zipo hapo Hai kupata kizima kwa ajili yake
 
Kuna kila dalili inayoonyesha Freeman Aikel Mbowe unachochea moto kuhusiana na tuhuma dhidi ya Sabaya.

kwanza ni mahusiano yako ya karibu na mfanyabiashara na wafanyabiashara baadhi wa mahotel hapo Hai

Kulikua na figusi nyingi katika mapato ya serikali ,lakini baada ya Sabaya kuanza kuwashughulikia mmeanza zengwe.

Pia nguvu kubwa ya vijana wako mitandaoni kumshambulia Sabaya mfululizo kana kwamba tayari kapatikana na hatia wakati bado hiyo ni tuhuma.

Lingine pia ni clip walizoleta hadharani vijana wako ,ni mwehu pekee anaweza sema huo ni ushahidi wa kuonyesha anaomba rushwa .

Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.

Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii.
Mmeanza na mbowe kuwekwa ndani nani alikuwa nyuma yake?
 
Leo ushahidi wa video umepokelewa mahakamani ,ule wa maandamano bila kibali na kusababisha kifo cha Akwilina
Kweli vijana mmejua jinsi ya kucheza na akili za mkuu.

Yani utuhumiwe kwa kuomba rushwa na anayekutuhumu yupo tena anajiamini kabisa halafu uajiri watu wa kukutetea na kumsingizia Mbowe kisa tu unajua ni mpinzani hivyo utahurumiwa?

Hii nchi Mungu aiponye tu.
 
Huyo ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ,yupo kazini 24 hours

Ndio maana kwa wingi wenu nyie RETARDS kama mpo ndio chanzo cha kuwepo retards viongozi. Yana mwisho haya. Genes zenu ni recessive na mtaendelea kupungua hata mkizaliana wenyewe bado EXTINCTION inawasubiria.
 
Ndio maana kwa wingi wenu nyie RETARDS kama mpo ndio chanzo cha kuwepo retards viongozi. Yana mwisho haya. Genes zenu ni recessive na mtaendelea kupungua hata mkizaliana wenyewe bado EXTINCTION inawasubiria.
We pumbavu kweli
 
Ndio maana kwa wingi wenu nyie RETARDS kama mpo ndio chanzo cha kuwepo retards viongozi. Yana mwisho haya. Genes zenu ni recessive na mtaendelea kupungua hata mkizaliana wenyewe bado EXTINCTION inawasubiria.
Pumba hii
 
Bilionea Mbowe hawezi kupambana na Kapuku duni kama Sabaya , kiongozi unaomba rushwa ndogo ya mil 10 na unadhalilika utadhani kibaka , ni heri angekuja kwangu ningempa 10 times , Masikini mkubwa huyu !
 
Kuna kila dalili inayoonyesha Freeman Aikel Mbowe unachochea moto kuhusiana na tuhuma dhidi ya Sabaya.

kwanza ni mahusiano yako ya karibu na mfanyabiashara na wafanyabiashara baadhi wa mahotel hapo Hai

Kulikua na figusi nyingi katika mapato ya serikali ,lakini baada ya Sabaya kuanza kuwashughulikia mmeanza zengwe.

Pia nguvu kubwa ya vijana wako mitandaoni kumshambulia Sabaya mfululizo kana kwamba tayari kapatikana na hatia wakati bado hiyo ni tuhuma.

Lingine pia ni clip walizoleta hadharani vijana wako ,ni mwehu pekee anaweza sema huo ni ushahidi wa kuonyesha anaomba rushwa .

Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.

Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii.
Haki ya nani tena wapumbavu km ww mnaotetea waovu sijui mtaisha lini ili tupate uhuru!

Hv huwa mnatambulisha id zenu kwanza kwa wanaowatuma nn ili waitie michango yenu??maana naamini mnalipwa kipande kwa kuja kuwatetea so hebu tueleze uzito wa kipande hutokana na nguvu unayotumia kusifu nn?
 
Back
Top Bottom