Napinga kauli ya Freeman Mbowe ya kumsamehe Sabaya

Napinga kauli ya Freeman Mbowe ya kumsamehe Sabaya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,453
Reaction score
283,788
Kwa ukatiri n.a. unyama aliofanya Sabaya hapaswi kusamehewa na yeyote na Nina hakika wako wanaopanga kulipa kisasi (nawatakia kila la heri)

Namheshimu Freeman na wote mnajua lakini namheshimu zaidi Mwenyezi Mungu ambaye hajatuagiza popote kumsamehe Shetani.

Sabaya ni aina ya vijana wanaopaswa kunyongwa hadharani, Huyu anapaswa kukamatwa na kutendewa kama Samuel Doe, unnyama alioutenda Sabaya hauandikiki hapa jukwaani, Huyu hapaswi si tu kusamehewa bali hapaswi kukaribishwa popote penye kundi la watu wema.

Sabaya anapaswa kukomeshwa ili wapumbavu wengine wa kiwango chake wajifunze na kuogopa kutenda ubaya kwa wengine, wajinga wa aina ya sabaya wanapaswa kulipwa kisasi ili wengine wajifunze kwamba madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana

Nina hakika hata familia ya Mbowe iliyoteseka na madaraka ya Sabaya Wameshangaa.

Mwisho, Japo si kw a umuhimu, KILA UBAYA UTALIPWA

FB_IMG_1568243182043.jpeg
 
Yaani huyo mtu kashaumiza na kuua watu.
Ni familia ngapi kaziachia majeraha na maumivu kwa matendo yake?

Na Mbowe yeye anamuombea msamaha mwenyewe Sabaya yuko wapi asiombe msamaha?? Badala ya kumuombea msamaha ilitakiwa awajibishwe kwa mujibu wa sheria na sio huo U-CCM anaouleta Mbowe..!!
 
Usipomsahe unapata faida Gani na ukimsamehe unapata faida Gani .

Kusamehe au kutosamehe ni sawa

Binafsi no GOD forbid everything happens for reason and everything is blessing in this .

FAM is great Man , knowledgeable , smart and wiser plus visionary.
 
Usipomsahe unapata faida Gani na ukimsamehe unapata faida Gani .

Kusamehe au kutosamehe ni sawa

Binafsi no GOD forbid everything happens for reason and everything is blessing in this .

FAM is great Man , knowledgeable , smart and wiser plus visionary.
Tusilazimishane
 
Nakuunga mkono wewe mfuasi wa Lissu. Sabaya ana maovu mengi ya kutisha. Akiwa DC aliharibu maisha ya wengi hasa vijana. Kuna watu walirudishwa kwenye umaskini na Sabaya. Mbowe alivyo kenge haoni hata SYSTEM haimtaki Sabaya? Kimsingi Sabaya na Gambo uovu wao uliwagusa hadi baadhi ya viongozi wa sasa.
 
Yaani huyo mtu kashaumiza na kuua watu.
Ni familia ngapi kaziachia majeraha na maumivu kwa matendo yake?

Na Mbowe yeye anamuombea msamaha mwenyewe Sabaya yuko wapi asiombe msamaha?? Badala ya kumuombea msamaha ilitakiwa awajibishwe kwa kujibu wa sheria na sio huo U-CCM anaouleta Mbowe..!!
Sabaya hasameheki. Toka akiwa UVCCM alikuwa mtu mshenzi.
 
Nakuunga mkono wewe mfuasi wa Lissu. Sabaya ana maovu mengi ya kutisha. Akiwa DC aliharibu maisha ya wengi hasa vijana. Kuna watu walirudishwa kwenye umaskini na Sabaya. Mbowe alivyo kenge haoni hata SYSTEM haimtaki Sabaya? Kimsingi Sabaya na Gambo uovu wao uliwagusa hadi baadhi ya viongozi wa sasa.
Kwa nini Bashite ni Waziri??
 
Nami ninawatakia majukumu mema hao uliowataja kwenye aya ya kwanza.
 
Kwa ukatiri n.a. unyama aliofanya Sabaya hapaswi kusamehewa na yeyote na Nina hakika wako wanaopanga kulipa kisasi (nawatakia kila la heri)

Namheshimu Freeman na wote mnajua lakini namheshimu zaidi Mwenyezi Mungu ambaye hajatuagiza popote kumsamehe Shetani.

Sabaya ni aina ya vijana wanaopaswa kunyongwa hadharani, Huyu anapaswa kukamatwa na kutendewa kama Samuel Doe, unnyama alioutenda Sabaya hauandikiki hapa jukwaani, Huyu hapaswi si tu kusamehewa bali hapaswi kukaribishwa popote penye kundi la watu wema.

Sabaya anapaswa kukomeshwa ili wapumbavu wengine wa kiwango chake wajifunze na kuogopa kutenda ubaya kwa wengine, wajinga wa aina ya sabaya wanapaswa kulipwa kisasi ili wengine wajifunze kwamba madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana

Nina hakika hata familia ya Mbowe iliyoteseka na madaraka ya Sabaya Wameshangaa.

Mwisho, Japo si kw a umuhimu, KILA UBAYA UTALIPWA
Mbowe mwenyewe hana tofauti na Sabaya
 
Back
Top Bottom