Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,453
- 283,788
Kwa ukatiri n.a. unyama aliofanya Sabaya hapaswi kusamehewa na yeyote na Nina hakika wako wanaopanga kulipa kisasi (nawatakia kila la heri)
Namheshimu Freeman na wote mnajua lakini namheshimu zaidi Mwenyezi Mungu ambaye hajatuagiza popote kumsamehe Shetani.
Sabaya ni aina ya vijana wanaopaswa kunyongwa hadharani, Huyu anapaswa kukamatwa na kutendewa kama Samuel Doe, unnyama alioutenda Sabaya hauandikiki hapa jukwaani, Huyu hapaswi si tu kusamehewa bali hapaswi kukaribishwa popote penye kundi la watu wema.
Sabaya anapaswa kukomeshwa ili wapumbavu wengine wa kiwango chake wajifunze na kuogopa kutenda ubaya kwa wengine, wajinga wa aina ya sabaya wanapaswa kulipwa kisasi ili wengine wajifunze kwamba madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana
Nina hakika hata familia ya Mbowe iliyoteseka na madaraka ya Sabaya Wameshangaa.
Mwisho, Japo si kw a umuhimu, KILA UBAYA UTALIPWA
Namheshimu Freeman na wote mnajua lakini namheshimu zaidi Mwenyezi Mungu ambaye hajatuagiza popote kumsamehe Shetani.
Sabaya ni aina ya vijana wanaopaswa kunyongwa hadharani, Huyu anapaswa kukamatwa na kutendewa kama Samuel Doe, unnyama alioutenda Sabaya hauandikiki hapa jukwaani, Huyu hapaswi si tu kusamehewa bali hapaswi kukaribishwa popote penye kundi la watu wema.
Sabaya anapaswa kukomeshwa ili wapumbavu wengine wa kiwango chake wajifunze na kuogopa kutenda ubaya kwa wengine, wajinga wa aina ya sabaya wanapaswa kulipwa kisasi ili wengine wajifunze kwamba madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana
Nina hakika hata familia ya Mbowe iliyoteseka na madaraka ya Sabaya Wameshangaa.
Mwisho, Japo si kw a umuhimu, KILA UBAYA UTALIPWA