Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 17,139
- 24,561
ukweli ni upi?Sikweli
ukweli ni upi?Sikweli
Yaani nyie vijana wa CCM ni wapumbavu kweli ina maana Mbowe huyu ndiye aliandaa kikao cha TRA ambacho ndiyo kiliibua sakata hili. Wakati mwingine bora mkae kimya kuficha upumbavu wenu,mnakidhalilisha chama chenu. Ikitokea huyo tapeli mwenzenu akiwajibishwa mtakuja tena hapa kusifia.
Ukitaka kujua waliko Chacha Wangwe, Ben Saanane muone mboweHuu ni utumbo haswa, Mbowe anawezaje kupanga huu ujinga na upuuzi wa Sabaya?