Mbowe: Nipo tayari kufia angani

Mbowe: Nipo tayari kufia angani

Haki ya hawara yake joyce mukya?

Ifweero ndugu yangu kwani ukipost bila kumtukana kiongozi wa chama "ambacho ni halali kisheria" hujisikii raha? Tunakuuliza makusudi kabisa kwani tumechoka kuwatukana viongozi wa vyama vya upinzani hasa cdm,
 
Kwa maneno makali namna hii, namkumbuka Chacha Wangwe(R.I.P) Saidi Kubenea, Bomu la Sowete, M/kiti wa Temeke n.k, Huyu Mbowe ana roho ya kikatili sana, hafai kuongoza hata kwa robo siku!

Na tembo wetu wote wa mikumi wameisha!!!!!
 
Hayo mafuta yanayotumika kuruka pamoja fedha ya kuikodi hiyo helkopta yangeweza kununua madawa katika hospitali na vituo vyote vya afya kalenga nzima na hata mkoa mzima wa iringa

Hizo kazi zilitakiwa zifanywe na fedha ambazo CCM wanazitumia kununua wapiga kura.
 
Hayo mafuta yanayotumika kuruka pamoja fedha ya kuikodi hiyo helkopta yangeweza kununua madawa katika hospitali na vituo vyote vya afya kalenga nzima na hata mkoa mzima wa iringa
wambie wanokusanya kodi ya wanakalenga kama hamna dawa na kodi wanakusanya ni wakati muafaka ss kuwatoa
 
Mbowe anaongoza wanywa gongo na wavuta bangi

niafadhali ya mbowe kuliko yule anayeongoza wangoa kucha, mafisadi, wauwaji, majangili wa faru na tembo, wezi wa mali za uma mf epa na richmond. Na mbaya zaid familia yake inahusika katika uuzaji wa sembe.
 
Mbowe ni kati ya ajabu ajabu sana...

Amri ya polisi ni Amri halali.

Ni halali kwa sheria gani? CCM wanawaona Watz bado ni mazuzu, ndio maana wanaitumia sana Polisi kuwatisha raia.
 
Hayo mafuta yanayotumika kuruka pamoja fedha ya kuikodi hiyo helkopta yangeweza kununua madawa katika hospitali na vituo vyote vya afya kalenga nzima na hata mkoa mzima wa iringa

Nimekudharau sana kama tupu ya Kitimoto! unawezaje kuwa na matatizo ya kufikiri kiasi hiki???
 
Hongera Mbowe na Jopo zima la Uongozi ndani ya Chadema,Maana ni vizuri Mbowe anajua kutumia Chopa si kuvunja Sheria,Kama huyo RC anadhani ni makosa,Aonyeshe kifungu/kipengele kilichovunjwa/kitakachovunjwa kama Chopa ikitumika.
 
"Tutaruka kwa Chopa mbili, RPC Mungi apende asipende niko tayari Kufa... Nazungumza Kwa Mamlaka kama Kiongozi mwenye Dhamana, Nchi hii kila Mtu ana haki ya Kutumia Usafiri wowote...Hatutaogopa Kuruka kwa Chopa, mpeni Salaam Kamanda wa Polisi". alisema Mbowe. Source chadema page
 
Haswa hili ni jibu mujarabu kabisa ......watumie na magari, ....kama CCM hawana wanataka kila mtu akose?
 
Mimi mbowe nampenda bure mwambieni rpc aseme ni kifungu kipi kinampa mamlaka ya kupangia watu usafiri wa kutumia wawapo kwenye shughuli zao za chama???
 
tupe hiyo hesabu tukuelewe. fafanua ili uonekane unaongea kama msomi
Hayo mafuta yanayotumika kuruka pamoja fedha ya kuikodi hiyo helkopta yangeweza kununua madawa katika hospitali na vituo vyote vya afya kalenga nzima na hata mkoa mzima wa iringa
 
Back
Top Bottom