Mbowe: Nipo tayari kufia angani

Mbowe: Nipo tayari kufia angani

Mh Mbowe kwa Siasa zako za kitoto na kuongea bila kufikiri wewe ni nani ole wako Mshindwe haki ya mama ntakudharau milele na hapa Dodoma ukirudi cjuwi utaweka wapi uso wako. Kama unaona Hoja zako na chama chako zilikuwa na Mashiko Mnataka kutumia nguvu ya nn?

Sasa hapo anayetaka kutumia nguvu ni nani? Yaani Watanzania wengi ni wajinga sana, Tume inasema ni haki CDM kutumia usafiri wowote kama hauna aina yeyote ya Matangazo then huyu kamanda anadai eti wasitumie helcopter kwa kuwa ni kuvunja sheria za uchaguzi, sasa anayesimamia sheria ya uchaguzi ni Tume au polisi? Acha kutetea ujinga kwa ujinga wako wa kutojua mambo na kusoma vitu KUCHI wewe hapo anayetumia nguvu ni polisi na si Mbowe
 
Mke wako umwachie polisi?? ndio maana nimesema ujinga mzigo.

haha ha ha! Jamaa yuko tayari kuliwa hata ti..go kwa amri halali ya polisi, usishangae mkuu vijana wa lumumba sembe zimewapunguzia uwezo wa kufikiri.
 
Mh Mbowe kwa Siasa zako za kitoto na kuongea bila kufikiri wewe ni nani ole wako Mshindwe haki ya mama ntakudharau milele na hapa Dodoma ukirudi cjuwi utaweka wapi uso wako. Kama unaona Hoja zako na chama chako zilikuwa na Mashiko Mnataka kutumia nguvu ya nn?
anayetumia nguvu ni huyo rpc kibaraka wa maccm mkuu, acha kufikiri kwa kutumia ma------ mkuu..
 
Kama lile la Mbowe alilolikataa mchana, usiku akaenda kulichukua.

Kichwa chako ndio kimefikiria hadi nukta ya mwisho hapo...hivi serikali ni ya CCM au CHADEMA, Mbowe ata kama amechukua nisawa sababu ni sera na mfumo wa chama kinachotawala na kukusanya kodi na kuzipangia matumizi kwa mtu mmoja kukataa ingesaidia nini kwa akili yako fupi halafu mimi sitaki kujibizana na watu wanaolipwa (buku saba) kutujibu wananchi maswali yetu magumu dhidi ya serikali ya CCM.
 
Ni kweli, hayuko tayari kufa anatishia tu! Kifo unakifanyia mchezo? siku ile pale SOWETO Mbowe aliacha VX V8 na kupanda BAJAJ ili kuiponya roho yake!

aisee si kosa lako, kosa ni la wazazi wako kukuzaa huku ukiwa na umaskini wa kufkiri na tajiri wa unafki, mfitini na mwongo, tangu lini Arusha kukawa na usafiri wa Bajaji?
 
aisee si kosa lako, kosa ni la wazazi wako kukuzaa huku ukiwa na umaskini wa kufkiri na tajiri wa unafki, mfitini na mwongo, tangu lini Arusha kukawa na usafiri wa Bajaji?

Muulize LEMA!
 
nani anatoa maelekezo ya siku ya uchaguzi; ni police ama tume ya uchaguzi? police inaonekana kichaka cha kufichia mambo ambayo watawala wanawapa taabu kama maandamano halali au hata hz chaguzi wanatumika kama vile kutishia wapiga kura. kuna haja ya kuelimishwahaki na wajibu wao kama raia wa nchi kwani kuwa polisi hakuwaondolei haki yao ya uraia ili waheshimu na haki za raia wengine. ndo maana watu wanawaita policcm, huku ni kuitia doa serikali
 
Mbowe ni kati ya ajabu ajabu sana...

Amri ya polisi ni Amri halali.
Wacha ujinga wewe.Kwa hiyo polisi akiamua jambo na mkewe na kulitangaza itakuwa ni halali.Eleza ni kifungu kipi katika sheria ya uchaguzi kinachozuia chopa kuruka siku ya kupiga kura.Polisi anadhibitiwa na sheria kama ulikuwa hujui.
 
Kichwa chako ndio kimefikiria hadi nukta ya mwisho hapo...hivi serikali ni ya CCM au CHADEMA, Mbowe ata kama amechukua nisawa sababu ni sera na mfumo wa chama kinachotawala na kukusanya kodi na kuzipangia matumizi kwa mtu mmoja kukataa ingesaidia nini kwa akili yako fupi halafu mimi sitaki kujibizana na watu wanaolipwa (buku saba) kutujibu wananchi maswali yetu magumu dhidi ya serikali ya CCM.

Sasa kama anaheshimu sheria kiasi cha kufikia hatua ya kushindwa kukataa VX V8 analojua kuwa limenunuliwa kimakosa(kwa mujibu wako) ameshindwaje kuheshimu hii amri halali ya polisi kuhusu chopa?
 
cheap popularity, this guy failed in school, failed in business and failed in politics! pathetic!

Sasa kwanini mnaangaika na mtu aliye anguka na masomo? Muacheni achome mafuta na chopa zake ccm bhana vitu vidogo mnaangaika navyo si mtulie ili mgimwa apite bila upande kuja na visingizio ooh,tumehujumiwa ooh,wapiga kura waluogopa kwenda kupiga kura kisa kuna mvutano wa chopa,tulieni jamani tunataka amani!
 
Back
Top Bottom