Mbowe: Nipo tayari kufia angani

Mbowe: Nipo tayari kufia angani

akizungumza katika mkutano wa kampeni kijiji cha sadani , alisema kauli ya kamanda wa polisi Iringa kuzuia chopa yao ni mkakati wa kutaka kusababisha maafa na yupo tayari kufia angani siku ya jumapili . ' Tutaruka kwa chopa mbili , RPC MUNGI APENDE ASIPENDE , NIPO TAYARI KUFA .... NAZUNGUMZA KWA MAMLAKA KAMA KIONGOZI MWENYE DHAMANA . NCHI HII KILA MTU ANA HAKI YA KUTUMIA USAFIRI WOWOTE .... HATUTAOGOPA KURUKA KWA CHOPA , MPENI SALAM KAMANDA WA POLISI ' ALISEMA MBOWE .

Kwa maneno makali namna hii, namkumbuka Chacha Wangwe(R.I.P) Saidi Kubenea, Bomu la Sowete, M/kiti wa Temeke n.k, Huyu Mbowe ana roho ya kikatili sana, hafai kuongoza hata kwa robo siku!
 
Mbowe ebu kuwa na huruma na pesa za walipa kodi.Kama chopa ni muhimu mbona haujawahi kuitoa katika majanga na maafa yanayotokea kama mafuriko n.k
kama mnataka chadema wafanye hiyo kazi basi tokeni magogoni,mnataka kuiba kura kama kawaida yenu,tunajua kamanda wa polisi irirnga kajiandaa kufanya mauaji ya kutisha kama kamuhanda ili apandishwe cheo na rais!!!!
 
Maswali la kujiuliza kwa kila mwenye ufahamu kuwa hii chopa ni mali ya nani? umuhimu wa matumizi yake katika mikutano na safari za Chadema? na taasisi au kundi gani linalobeba zigo la gharama hizi?
 
Kwa maneno makali namna hii, namkumbuka Chacha Wangwe(R.I.P) Saidi Kubenea, Bomu la Sowete, M/kiti wa Temeke n.k, Huyu Mbowe ana roho ya kikatili sana, hafai kuongoza hata kwa robo siku!

mbowe hafai kuongoza hata kuku
 
Kwa maneno makali namna hii, namkumbuka Chacha Wangwe(R.I.P) Saidi Kubenea, Bomu la Sowete, M/kiti wa Temeke n.k, Huyu Mbowe ana roho ya kikatili sana, hafai kuongoza hata kwa robo siku!

kolimba,kombe,sokoine,mwangosi,kibanda the list goes on and on......
 
kama mnataka chadema wafanye hiyo kazi basi tokeni magogoni,mnataka kuiba kura kama kawaida yenu,tunajua kamanda wa polisi irirnga kajiandaa kufanya mauaji ya kutisha kama kamuhanda ili apandishwe cheo na rais!!!!
Chopa ndio inazuia wizi wa kura?
 
Maswali la kujiuliza kwa kila mwenye ufahamu kuwa hii chopa ni mali ya nani? umuhimu wa matumizi yake katika mikutano na safari za Chadema? na taasisi au kundi gani linalobeba zigo la gharama hizi?
kamuulize d.haifu alipoiga kuruka angani mwaka 2010 kwenye kampeni ile helikopta yake na ya salma zililipiwa na wale waliotoa suti au makampuni ya madini?
 
Hao vibaraka wa ccm, eti policccm, hii wataisoma namba siku sio nyingi, yaani imeshakuwa dmz ya lebanon na syria? Shame upon them policccm, grace tendega lazima ashinde hata mje ibm ya usa,
 
Nimeamini ule uchungu anaolialia Mbowe majukwaani si kwa wananchi ni uchungu mwengine tu.
 
Mbowe ebu kuwa na huruma na pesa za walipa kodi.Kama chopa ni muhimu mbona haujawahi kuitoa katika majanga na maafa yanayotokea kama mafuriko n.k


Mingoi
Sera za chadema ni wanachi wapate matatizo ili wapate la kusema..

Hawawezi kushiriki ktk kutatua matatizo ya wananchi kwakuwa si sera yao.
 
Last edited by a moderator:
Wanalumumba chup....znabana kuelekea uchaguz kesho kalenga
 
Back
Top Bottom