Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,683
- 272,541
- Thread starter
- #21
Hongereni chadema, komaeni na hao makamanda wa polis wahuni na vibaraka wa ccm!
hakuna namna yoyote ya kuepuka chopa kwenye anga la kalenga kesho , wavumilie maumivu tu , hakuna upenyo wa kukimbia na masanduku , kama MBWAI NI MBWAI TU !