jk hafai zaidi mkuu!mbowe hafai kuongoza hata kuku
Wewe ni mpuuz kweli,kodi yetu inafanya nini? hivi cdm ndio tuliowapa dhamana ya kukusanya kodi?
mbona ccm wanachama wao ni mamburula tu? Wabunge wao wanaburuzwa tu kwenye suala la katiba, na wahuni wao kina kinana, jk na nape!Wanachama wao wengi ni Misukule na mataahira, wanafurahia kila utumbo wa Lema, Mbowe na Slaa!
mkuu sheria ipi? Hapo ni ubabaishaji tu mkuu wa polis ccm na sio kingine!Kuna madhara gani msipoirusha hiyo Chopa????
Tii sheria bila shurti.
wahamasishaji wakubwa wa vurugu ni ccm na mapolis!Mbowe na LEMA wanahamasisha fujo halafu kikishwaka wao wanasevu.
Mbowe aache kabisa kuudanganya UMMA kuwa yuko tayari kufa kwa ajili ya wanakalenga!
mbona ccm wanachama wao ni mamburula tu? Wabunge wao wanaburuzwa tu kwenye suala la katiba, na wahuni wao kina kinana, jk na nape!
SIYO mbowe yuko tayari kufa kwa ajiri ya wana kalenga tu bali yuko tayari kufa kwa ajir ya wa tz akiwemo mama ako mzazi kama yu hai.
Hayo mafuta yanayotumika kuruka pamoja fedha ya kuikodi hiyo helkopta yangeweza kununua madawa katika hospitali na vituo vyote vya afya kalenga nzima na hata mkoa mzima wa iringa
afadhali makengeza mkuu, kuliko mahaba ya mapolis kwa ccm bila kufuata sheria!Mbowe ana Makengeza, na akili zake pia zina makengeza.
Wameshakufa wangapi wa maana na faida hadi wewe mbowe mzinzi utishie watu?
Kodi ikusanye CCM kwa ajiri ya kununua magari aina ya V8 halafu madawa ya hospital wanunue CHADEMA huoni ata AIBU.
Utakufa mwenyewe utamuacha Mbowe.Afe tu, kwani kuna mtu kamzuia?
Nilishasema na nasema tena, udhaifu wa tume ya uchaguzi na matamko ya polisiccm yatatupeleka pabaya. Watanzania wapenda amani hatutaki kufika huko. Kama vyombo hivi haviwezi kutenda kazi zao kwa uwazi na haki, wahusika ktk vyombo hivyo lazima wachukuliwe hatua kali za kisheria. Hatutaki kuona aliyekosa kupiga kura Kalenga kwa sababu za kutokuonekana ktk daftari la wapiga kura. Na tunajua ni toleo la 2010 la wapiga kura litakalotumika. Uzembe (aidha unafanywa makusudi au kwa kutokujua) wa tume ya uchaguzi kubandika majina wakiwa wamechelewa ukomeshwe mara moja.