Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,043
- 1,012
Nimeamini ule uchungu anaolialia Mbowe majukwaani si kwa wananchi ni uchungu mwengine tu.
umekalia
Nimeamini ule uchungu anaolialia Mbowe majukwaani si kwa wananchi ni uchungu mwengine tu.
kamuulize d.haifu alipoiga kuruka angani mwaka 2010 kwenye kampeni ile helikopta yake na ya salma zililipiwa na wale waliotoa suti au makampuni ya madini?
haa haa, ni kweli mkuu!hakuna namna yoyote ya kuepuka chopa kwenye anga la kalenga kesho , wavumilie maumivu tu , hakuna upenyo wa kukimbia na masanduku , kama MBWAI NI MBWAI TU !
Mbowe atakutumia katika uhai wako wotewe pu.nda kwelikweli
sio kila amri ya polis ni halali, zingine ni haramu mkuu!
Ujinga mzigo,Mbowe ni kati ya ajabu ajabu sana...
Amri ya polisi ni Amri halali.
Hayo mafuta yanayotumika kuruka pamoja fedha ya kuikodi hiyo helkopta yangeweza kununua madawa katika hospitali na vituo vyote vya afya kalenga nzima na hata mkoa mzima wa iringa
Kufa tu wewe dj tu kwanza wako madj wengi tu
kwa mauaji ccm ndo wenyewe...!Chadema ni wauwaji, wanataka kumwaga damu kalenga, kama walivyofanya arusha
pia ya bibi yako mkuu!Haki ya hawara yake joyce mukya?
ccm ni genge la wahujumu uchumi!chadema ni genge la wahuni
Utamfanya nini wewe kidampa tu,Ajaribu aone
Mbowe na LEMA wanahamasisha fujo halafu kikishwaka wao wanasevu.
Mbowe aache kabisa kuudanganya UMMA kuwa yuko tayari kufa kwa ajili ya wanakalenga!