Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Status
Not open for further replies.
Kweli humu CHADEMA ni familia ya kambale!na wewe una ubavu wa kuwapa viongozi ultimatum?fanya hima ujitoe kesho asubuhi na hao watu wako unaosema kisha tuone kitavunjika ama laa.Wanaume hawasusi pambana!
 

Mkuu chadema haijashiba wanachama. Chadema ni chama kikubwa, hata akiondoka Slaa, mbowe, zito bado kitasimama maana watu wamewekeza katika hiki chama. Tunaona mbali tunaogopa watu kukiingiza chama katika liabilities za migogoro. Nielewe nia yangu.

Mimi sikitishi chama, lakini mimi na wanachama wangu tuna nguvu ya kuprotest kama kuna ujinga unaoendelea chamani.
 
maskini mke wangu simiyu, kihelehele cha nini? Kesho ntakuja na basi la mbasa raha kukuletea matumizi usihangaike, tulia mama.
Watoto wa nje ya ndoa bana tangu wazazi wako kuachana baada ya ujauzito wako kuleta utata ulikumbana na mkosi na huu mzimu utakutesa daima basi tafuta mume uolewe japo huna mvuto hata wa kuolewa.
 


Ridiculous and very arrogant comments, Hao viongozi wanauwezo wa kuingila na kuyatuliza hayomambo bila ya kuja hapa jf, Ukweli ni kuwa hii planned attack is part of their political journey to eliminate all popular party members who are winning the masses, while they are busy doing other things. be the pole and dont be the flag
 
Hawa jamaa wameshafika mwisho ndio maana huwezi ona jipya kwao, ni yaleyale tu wanayoyapinga ndiyo wanayatenda, huenda ndoto zao zimeshakamilika hawana haja nyingine tena. wazo la kuachana nao ndio la msingi hapa
 

Natamani wanachadema mkawa na maono haya, tusipoteze muelekeo. Kama viongozi wetu wanakuwa katika migogoro ni wazi watapoteza kondoo. Sisi sote ni wamoja. Tatizo ni ccm. Tuwe na msingi huu.
 

Sina upande. Mimi namtambua Mbowe, Dr, zitto kama viongozi waandamizi wa chama. Period
 
Hivi hii ya Lema kuliwa kiboga na baadhi ya vijana wake wa bavicha kutokana na kuwadhulumu ni kweli?maana picha mnato zimezagaa na nasikia video itaepuliwa soon
Mods matusi haya...
 

safi sana, inaonekana JF ni maarufu sana hapo mtaani kwenu
 
We si ndio ulikua unatetea division 5 wewe?! Hilo tu linatosha kujua uwezo wako na kisha kupuuza bandiko lako!!

Eti unatoa masaa 24 la sivyo itatoa tamko na wanachama wa kanda yako?!!? Una kanda wewe?! Hizi ndizo akili kama za Le mutuz hizi! BS!

Mkuu nadhani kila mtu ana haki ya kutoa maoni. By the way hata wadau mbali mbali wa elimu from universities, NGOs, walim etc walitoa maoni hayo hayo.
 
There are six gates open for you and your gullible, lumpy and clumsy supporters! Zitto ni mnafiki tu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…