commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
sio mwanachama kwa hoja ipi? Au nawe ndio wale washabiki mnashabikia na kutuhumu mwenzenu bila ya hata kufikiria? Mbona mnakuwa wajinga kiasi hiki? Mnatuharibia chama.
siku zote huwa hakuna swali la kijinga,bali jibu la kijinga na si lingine tofauti na hili jibu lako.:rapture: