MBOWE mnatuharibia chama, chama kinazidi kupotea

MBOWE mnatuharibia chama, chama kinazidi kupotea

mayange

usitake kujipa ujiko usiokuhusu,lugha yako tu inaonyesha kuwa wewe ni gamba halafu unajidai kuwa unauchungu sana na cdm. Tulia dawa ipenye na mwaka huu mnalo.
 
Last edited by a moderator:
mayange

ukitaka kujua akili ya mtu mpe nafasi ya kusema au kutenda.classify yourself .
 
Last edited by a moderator:
sio mwanachama kwa hoja ipi? Au nawe ndio wale washabiki mnashabikia na kutuhumu mwenzenu bila ya hata kufikiria? Mbona mnakuwa wajinga kiasi hiki? Mnatuharibia chama.
Kama chama kimekuchosha si uende act au ccm? unalalamika nini?
 
mayange
Hahaaaaaa! Mbona hapa mjinga anaeleweka wazi kabisa!? Labda ni saidie mjinga ni anaye tetea ufisad ukifanyika kwele nchi yake na kuushangili au ni yule anae ona ifisadi na kuuongea!? Nadhani hadi hapo umesha mpata mjinga ni yupi.
 
Last edited by a moderator:
Kwa watu wasio elewa hiki
wanachokifanya kambi rasmi
yaupinzan wanaona kama
hawatendisawa lakin nakwambia
wanachofanya ni maandiko ya neno la
Mungu yasemayo TOKEN KATI YAO
WAFANYAO UFISADI MKATENGWE NAO
MSIGUSE KITU KICHAFU.
 
Eehh.....ndugu yangu Mharishaji nawe upo ehee.....!!

To God be the Glory....AMINA!!
 
Mimi nasema tena kuwa mimi nimwanachama hai wa CHADEMA, Nimemsema mh. Mbowe kwakuwa yeye ndiye mwenyekiti wetu na mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, haya yanayoendelea kukishushia heshma chama hayaoni? Dr. Slaa naye kama katibu wa chama hayaoni?.

Ni aibu kubwa sana taasisi kubwa kama hii yenye watu makini kiasi hiki kupambana na mtu mmoja tena mwisho wake tunaishia kupata aibu.

Kwani faida yetu sisi wananchi na wanachama mkimmaliza Zitto Kabwe kisiasa ni ipi?

Hapo awali mmetengeneza migogoro wenyewe kwa kumjengea tuhuma zisizo na ushahidi kama taarifa kutoka makao makuu ya chama kuhusu nyendo za ZZK toka mwaka 2008 kwa kupokea pesa toka CCM, mbona hamjatuletea ushahidi wa uhakika nasi tukajihakikishia?

Matokeo yake kila mmoja ameona utofauti wa CHADEMA ya mwaka 2013 na CHADEMA ya mwaka 2014.
Kwenye hili swala la leka dutigite, NSSFna TANAPA mmefanya uchunguzi wa kutosha na mkapata uhakika na mlichopeleka bungeni?

Tunataka ushahidi hapa ili na wananchi tujihakikishie sio mnatuletea propaganda za kijinga hapa na kuanza kuaminisha watu.

Nimesoma ufafanuzi wa Zitto mwenyewe, NSSF na TANAPA nimesikitika sana kuona kuwa maelezo haya kama ni ya kweli basi CHADEMA ndio itazidi kupoteza mvuto.

Nashindwa kuwaelewa na hawa washabiki wanaoshinda humu JF wakishabikia ujinga bila hata kufikiri ilimradi Mbowe kasema.

Watu wanabaki kuchangia changia ujinga wao humu Jf hata katika ujenzi wa chama hawaonekani wakidhani ndio ukomavu wa chama kumbe ndio wanazidi kukibomoa chama.

Mnajifanya wanachama wa CHADEMMA kwa kutetea hata ujinga wa baadhi ya viongozi ndio mnazidi kukimaliza chama, mfano huyu huyu ZZK alipoongelea kidogo habari za Mbowe wengi wenu mlianza kulalamika kwanini aongelee habari za Mbowe.

Sasa ZZK sio binadamu kama alivyo Mbowe au kiongozi mwingine anayeweza kuumia anapozushiwa na kuchonganishwa kwa wananchi?

Mashabiki nawashauri acheni kupumbazwa.
Yaani wewe pamoja na kwamba ni darasa la saba,hujaona ushahidi uliotolewa!? Kila kitu kimewekwa pale mpaka transaction zilizofanyika zimewekwa wazi,lkn bado unataka ushahidi! Kilichonishangaza,ni maelezo yako kuwa umesoma maelezo ya zzk ukaona yanaukweli. Sijui ni ukweli gani umeuona,maelezo ya zitto yameongeza ukakasi zaidi hata kwa mashabiki wake. Kwa watu km nyinyi mnaotumia viungo vingine kufikiri,mngekuwa mnasoma tu kuondoka! Mambo km haya yanahitaji watu wanaofikiri kwa kichwa!
 
mayage haaminiki maana hata katika gazeti la raia mwema aliwahi kuandika makala kuiponda chadema miaka 2 iliyopita,lakini pia mwanachama mweledi wa chadema anae jua katiba anafahamu njia za kukosoa na kushauri chama ni kwenye vikao rasmi lakini wewe unakosoa chama chako hadharani tena unapambana na mwenyekiti wako taifa hadharani;wewe mayage ni gamba
 
sio mwanachama kwa hoja ipi? Au nawe ndio wale washabiki mnashabikia na kutuhumu mwenzenu bila ya hata kufikiria? Mbona mnakuwa wajinga kiasi hiki? Mnatuharibia chama.

We masalia au Gamba urijino.Maoni yako hayawezi kuwa ya mwana CDM,Kwetu hakuna miemko kama ya masalia na magamba.
 
mayage haaminiki maana hata katika gazeti la raia mwema aliwahi kuandika makala kuiponda chadema miaka 2 iliyopita,lakini pia mwanachama mweledi wa chadema anae jua katiba anafahamu njia za kukosoa na kushauri chama ni kwenye vikao rasmi lakini wewe unakosoa chama chako hadharani tena unapambana na mwenyekiti wako taifa hadharani;wewe mayage ni gamba

yakweli hayo?
 
Mimi nasema tena kuwa mimi nimwanachama hai wa CHADEMA, Nimemsema mh. Mbowe kwakuwa yeye ndiye mwenyekiti wetu na mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, haya yanayoendelea kukishushia heshma chama hayaoni? Dr. Slaa naye kama katibu wa chama hayaoni?.

Ni aibu kubwa sana taasisi kubwa kama hii yenye watu makini kiasi hiki kupambana na mtu mmoja tena mwisho wake tunaishia kupata aibu.

Kwani faida yetu sisi wananchi na wanachama mkimmaliza Zitto Kabwe kisiasa ni ipi?

Hapo awali mmetengeneza migogoro wenyewe kwa kumjengea tuhuma zisizo na ushahidi kama taarifa kutoka makao makuu ya chama kuhusu nyendo za ZZK toka mwaka 2008 kwa kupokea pesa toka CCM, mbona hamjatuletea ushahidi wa uhakika nasi tukajihakikishia?

Matokeo yake kila mmoja ameona utofauti wa CHADEMA ya mwaka 2013 na CHADEMA ya mwaka 2014.
Kwenye hili swala la leka dutigite, NSSFna TANAPA mmefanya uchunguzi wa kutosha na mkapata uhakika na mlichopeleka bungeni?

Tunataka ushahidi hapa ili na wananchi tujihakikishie sio mnatuletea propaganda za kijinga hapa na kuanza kuaminisha watu.

Nimesoma ufafanuzi wa Zitto mwenyewe, NSSF na TANAPA nimesikitika sana kuona kuwa maelezo haya kama ni ya kweli basi CHADEMA ndio itazidi kupoteza mvuto.

Nashindwa kuwaelewa na hawa washabiki wanaoshinda humu JF wakishabikia ujinga bila hata kufikiri ilimradi Mbowe kasema.

Watu wanabaki kuchangia changia ujinga wao humu Jf hata katika ujenzi wa chama hawaonekani wakidhani ndio ukomavu wa chama kumbe ndio wanazidi kukibomoa chama.

Mnajifanya wanachama wa CHADEMMA kwa kutetea hata ujinga wa baadhi ya viongozi ndio mnazidi kukimaliza chama, mfano huyu huyu ZZK alipoongelea kidogo habari za Mbowe wengi wenu mlianza kulalamika kwanini aongelee habari za Mbowe.

Sasa ZZK sio binadamu kama alivyo Mbowe au kiongozi mwingine anayeweza kuumia anapozushiwa na kuchonganishwa kwa wananchi?

Mashabiki nawashauri acheni kupumbazwa.

hao wananchi unaowasemea nmi wapi mbona mimi pia ni mwananchi na sioni madhara ya zuberi zitto kwa chadema zaidi ya ukweli wa chadema mamluki kujulikana,ukiwemo wewe mtoa hoja hii?
 
mayage haaminiki maana hata katika gazeti la raia mwema aliwahi kuandika makala kuiponda chadema miaka 2 iliyopita,lakini pia mwanachama mweledi wa chadema anae jua katiba anafahamu njia za kukosoa na kushauri chama ni kwenye vikao rasmi lakini wewe unakosoa chama chako hadharani tena unapambana na mwenyekiti wako taifa hadharani;wewe mayage ni gamba

well said mkuu,umesema kweli na haki tupu,mungu akubariki
 
Back
Top Bottom