Mbowe mbaroni akidaiwa kutoa maneno yanayoashiria uchochezi, kuamsha hisia na chuki dhidi ya Serikali na Polisi. Aachiwa kwa dhamana


Hivi Kuna askari weledi
 
Hao tunaowaita polisi wala si polisi, ni kundi la majambazi waliopewa mafunzo na silaha kisha tunawaita polisi.

Polisi ni lazima wawe wakwanza kutii sheria, na kisha kuwaongoza wananchi kutii sheria. Kinyume na hapo tunawaona majambazi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati huwa najiuliza maswali mengi juu ya polisi wetu,naishia kusikitika tu.
 
Dah huu upumbavu utaendelea mpka lini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sehemu kubwa ya viongozi wa polis ni makada wa ccm

Hawa Polisi wa Magufuli wakiongozwa na kichaa mwenzao Ziro wanastahili hukumu ya Umma! Alichofanyiwa Mhe.Mbowe(MB),Mwenyekiti CHADEMA(T) na Kiongozi Kambi Rasmi ya Bungeni(KUB) ni UNYAMA,UKABURU,USHENZI na UDHALILSHAJI mkubwa...!
Nilitegemea Ziro au Simbachawene wakemee huu USHENZI hadharani na wamwombe radhi Mhe.Mbowe.....!
 
Kazi ya polisi ni kutii maagizo na sio kuhoji sasa mwanasiasa akikosa busara lazima jamii itaumia
 
Siku nyingine Mbowe akiwa na mkutano awaruhusu Polisi ndiyo wawe wahutubiaji kwenye mikutano hiyo. Wapuuzi kweli .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…