UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,554
- 7,761
Ina maana wanapomshangilia mama kwa kila analofanya wanataka aendelee kufanya hivyo ili ashindwe nao wapate cha kumsema?Hii ndio furaha ya upinzani, kuona serikali ina haribu na kufeli maana kwao ndio points za ushindi hizo.
Umenichanganya kabisa bwashee!