Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?
Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme!
Hamuoni vitu vilivyopanda bei kiholela?
Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme!
Hamuoni vitu vilivyopanda bei kiholela?